hispania

Hispania (Spanish: [isˈpaɲa]; nearly identically pronounced in Spanish, Portuguese, Catalan, and Italian for "Spain") was the Roman name for the Iberian Peninsula and its provinces. Under the Roman Republic, Hispania was divided into two provinces: Hispania Citerior and Hispania Ulterior. During the Principate, Hispania Ulterior was divided into two new provinces, Baetica and Lusitania, while Hispania Citerior was renamed Hispania Tarraconensis. Subsequently, the western part of Tarraconensis was split off, first as Hispania Nova, later renamed "Callaecia" (or Gallaecia, whence modern Galicia). From Diocletian's Tetrarchy (AD 284) onwards, the south of the remainder of Tarraconensis was again split off as Carthaginensis, and all of the mainland Hispanic provinces, along with the Balearic Islands and the North African province of Mauretania Tingitana, were later grouped into a civil diocese headed by a vicarius. The name Hispania was also used in the period of Visigothic rule.
The modern place names Spain and Hispaniola are both derived from Hispania.

View More On Wikipedia.org
  1. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Hispania: Wahalifu Wavamia nyumbani kwa Aubameyang, wampiga na kuiba vito

    Mshambuliaji wa Barcelona, Pierre-Emerick Aubameyang amevamiwa na wahalifu wenye silaha nyumbani kwake asubuhi ya leo Agosti 29, 2022 ikidaiwa pia wahalifu hao walimpiga mchezaji huyo. Taarifa za awali zinaeleza walikuwa wahalifu wanne wenye silaha za moto na nondo ambapo walifanikiwa kuondoka...
  2. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania HISPANIA: Shakira ashtakiwa kwa kukwepa kodi, wataka afungwe jela miaka 8

    Mwanamuziki Shakira anaweza kukutana na kifungo cha miaka nane na miezi miwili jela pamoja na faini ya Dola Milioni 24 (Tsh. Bilioni 55.7) kama atakutwa na hatia katika mashitaka ya kukwepa kulipa kodi. Shakira alipewa ofa na watoza kodi kuwa wayamalize kwa kutakiwa kulipa kiasi cha fedha kati...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Joto kali nchini Hispania lasababisha vifo vya watu 510

    Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Taasisi ya Afya ya Carlos III ya Hispania, watu 510 wamefariki kutokana na wimbi la joto kali nchini Hispania. Joto kali lilianza tarehe 10 Julai, huku joto la juu zaidi nchini humo likifikia kati ya nyuzi 39 hadi 45.
Back
Top Bottom