hakiki taarifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiCheck

    KWELI Nyenzo za kidigitali zinabainisha eneo ilipopigwa picha hii ni fukwe za Ziwa Nyasa Kyela, Mbeya

    Tumia nyenzo za kidigitali kubainisha eneo halisi ilipopigwa picha hii amba mdau aliuliza "hii ni sehemu gani bongo?" Je, umetumia nyenzo gani kujua eneo halisi?
  2. JamiiCheck

    KWELI Hapa ni Mafinga, wakati wa mvua ya barafu

    Kwa kutumia nyenzo za kidigitali zinazokuwezesha kuthibitisha uhalisia wa video, bainisha eneo halisi video hii iliporekodiwa huku ukieleza Nyenzo uliyotumia.
  3. JamiiCheck

    KWELI Video hii ya bodaboda wanaotoa ushuhuda kuhusu barabara imetengnezwa kwa Akili Unde

  4. JamiiCheck

    KWELI Picha hii ni halisi, ilipigwa mkoa wa Mbeya, Tanzania

    Kwa kutumia nyenzo za kidigitali zinazokuwezesha kuthibitisha uhalisia wa picha, bainisha eneo halisi picha hii ilipopigwa na Nyenzo uliyotumia.
  5. upupu255

    SI KWELI Hii video ya paka juu ya bawa la ndege ni halisi au tunapangwa, na kama ni halisi inawezekanaje?

    Watu wa JamiiCheck kwakweli tunahitaji msaada wenu katika hili, hii video ni halisi au wana wanajaribu kutuchezea, na kama ni kweli inawezekanaje?
  6. JamiiCheck

    KWELI Picha hii ni kutoka Pacific Palisades, Los Angeles, California nchini Marekani

    Kwa kutumia nyenzo za kidigitali zinazokuwezesha kuthibitisha uhalisia wa picha bainisha eneo halisi picha ilipopigwa na nyenzo uliyotumia.
  7. JamiiCheck

    Dkt. Mpango: Mitandao inaweza kutumiwa kueneza upotoshaji wa makusudi

    Ujumbe wa Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango alioutoa Agosti 11, 2025 katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi uliofanyika mkoani Kilimanjaro, unatukumbusha kuwa makini dhidi ya Taarifa Potofu mtandaoni hasa wakati wa uchaguzi. Ni muhimu kuthibitisha uhalisia wa kila...
  8. JamiiCheck

    Rolf Kibaja: Watu wanaweza kumfanya mgombea kuongea maneno ambayo siyo kupitia Akili Unde

    Kabla ya kuamini na kusambaza picha au video unazokutana nazo mtandaoni jiridhishe uhalisia wake au unaweza kuwasilisha kwenye majukwaa ya uhakiki wa taarifa kama JamiiCheck.com ili kupata uhalisia wa maudhui husika. Ujumbe huo unaakisi kauli ya Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano...
  9. JamiiCheck

    Rolf Kibaja: Usisambaze taarifa ambayo hauna uhakika nayo

    Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Rolf Kibaja, kupitia kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC Agosti 07, 2025, anawakumbusha watu wote kuepuka kusambaza taarifa zisizo za kweli pasipo uthibitishaji ili kuzuia madhara yanayoweza...
  10. JamiiCheck

    GE2025 Jaji Asina: Vijana mkiepuka wapotoshaji mtakuwa na mchango mkubwa uchaguzi mkuu

    Ujumbe wa Jaji Asina Omari, Mjumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), alioutoa wakati akizungumza na wawakilishi wa vijana, kwenye ukumbi wa mikutano Mlimani City Dar es Salaam, unasisitiza kuepuka utumiaji wa Akili Unde kutengeneza taarifa potofu ili kuzuia upotoshaji wakati wa uchaguzi. Kuzuia...
  11. S

    GE2025 Mpiga Kura unaweza kuhakiki taarifa zako hapa

    Kwa tunaoenda kupiga kura waweza hakiki taarifa zako tume ya uchaguzi hapa https://vis.inec.go.tz/
  12. Kyenju

    Wakuu! Vipi ili tangazo la Salimu Kikeke na Zitto Kabwe

    Hii ni sehemu sahihi ya kuwekeza, au ni upigaji mpya. ================= Ufuatiliaji uliofanywa na JamiiCheck kwa kutumia utafutaji wa maneno muhimu (Key word search) umejiridhisha kuwa video hiyo imepotoshwa kutoka kwenye video halisi ambayo ni sehemu ya matangazo mbashara ya kipindi cha...
  13. JamiiCheck

    Video halisi huweza kuhaririwa na kupoteza maana iliyokusudiwa kwa lengo la kupotosha, thibitisha kwanza

    Wapotoshaji wanaweza kuhariri video halisi kwa kukata vipande vidogo vidogo na kuviunganisha kwa ajili ya kuharibu maana na hivyo kuleta maana tofauti yenye lengo la upotoshaji. Thibitisha mara kwa mara iwapo utakutana na video unayoitilia mashaka, inayoonekana kuungwa ungwa, yenye mjongeo...
  14. JamiiCheck

    Usishiriki kusambaza Taarifa Potofu kwani zinaweza kuchochea Chuki, Taharuki, Mgawanyiko wa Kijamii na Kuhatarisha Amani

    Unapobaini kuwa Taarifa uliyokutana nayo Si ya Kweli, epuka kuisambaza kwa wengine kwani inaweza kuwa chanzo cha Migogoro na Taharuki katika Jamii. Zuia Taarifa Potofu kwa kufanya Uthibitishaji wa kila Taarifa unayokutana nayo ili kuchochea uwepo wa Taarifa Sahihi wakati wote.
  15. JamiiCheck

    Taarifa sahihi pekee zinaiwezesha Jamii kufanya Maamuzi sahihi, thibitisha uhalisia wa Taarifa unazopokea kabla ya kuziamini na kuzisambaza

    Uthibitishaji wa Taarifa ni jukumu la kila mmoja katika jamii ili kupambana na madhara ya Upotoshaji kwa kuhakikisha jamii inapata Taarifa Sahihi na kwa wakati. Unaweza kupata maarifa zaidi kupitia Jukwaa la JamiiCheck.com ili kujua mbinu muhimu zinazokuwezesha kubaini uhalisia wa Taarifa...
  16. JamiiCheck

    Dhibiti hisia zako unapokutana na taarifa yoyote ili ufanya maamuzi sahihi wakati wa kutafuta uhalisia wake

    Wakati mwingine Mtazamo, Hisia au Itikadi juu ya jambo huweza kuathiri maamuzi wakati wa kutafuta Ukweli wa jambo. Unapofanya Uhakiki wa Taarifa yakupasa udhibiti Hisia, usiwe na Upande au Mtazamo wako ili uweze kupata majibu sahihi juu ya Uhalisia wa Taarifa Unayohakiki Pia soma:Yoon Suk...
Back
Top Bottom