haki ya dhamana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    Jaji Mkuu, George Masaju aagiza watuhumiwa kuwajulishwa Haki ya Dhamana

    Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju, ameziagiza Mahakama za Wilaya na Mahakama za Hakimu Mkazi kuhakikisha zinamjulisha kila mtuhumiwa iwapo kosa linalomkabili linastahili dhamana, kama sehemu ya haki yao ya kikatiba. Masaju amesema kuwa kutowajulisha washtakiwa kuhusu haki ya dhamana ni moja...
  2. Roving Journalist

    LHRC: Vijana wanne wanaoshikiliwa kwa Siku 26 Kituo cha Polisi Mkuranga wapewe haki ya dhamana au wapelekwe Mahakamani

    TAARIFA KWA UMMA WITO KWA JESHI LA POLISI MKOANI PWANI WILAYA YA MKURANGA KUWAPA HAKI YA DHAMANA VIJANA WANNE (4) WANAOSHIKILIWA KATIKA KITUO CHA POLISI MKURANGA 15 Agosti 2025, Dar es Salaam Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimepokea taarifa kutoka kwa wananchi wa Wilaya ya...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 LHRC: Mamlaka itoe haki ya dhamana kwa Dkt. Slaa, ni haki yake

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito kwa mamlaka zinazohusika na usimamizi wa haki kuhakikisha Dkt. Wilbroad Slaa anapatiwa haki yake ya dhamana, kufuatia kukamatwa kwake tarehe 9 Januari 2025 kwa tuhuma za kuchapisha taarifa za uongo kinyume na Sheria ya Makosa ya Mtandao...
  4. mwanamwana

    Kwanini mtuhumiwa mwenye kesi yenye dhamana anyimwe haki yake ya dhamana

    Habari waungwana, Kuna jamaa yangu fulani anatuhumiwa kutenda kosa la kumshambulia mtu ambaye ambaye walizozana kidogo. Shida imekuja kuwa anaendelea kushikiliwa kituo cha Polisi huku suala la kumdhamini likiwa limegonga mwamba. Hii ni kumnyima haki ya msingi jamaa yetu. Ibara ya 13(6) (b)...
Back
Top Bottom