Kufuatia Press conference ya Askofu May 24, 2025 kuhusu utekaji, utesaji na mauaji, ambapo alidai huenda kipo kikundi kinachotenda mambo haya kwa maslahi ya mwanasiasa fulani, kumekuwa na mijadala mingi kitaifa yenye hisia mchanganyiko, huku chama chake kikimwona kuwa aliyepotoka.
Pamoja na...