gwajimanization

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Upekuzi101

    Kipimo cha muomba kura yoyote tutamuuliza alipambana vipi kuhusu utekaji, Mpina na Gwajima. Hatuna kesi na ninyi sisi kama wananchi.

    Kwa wanayoangalia haya mambo yanavyokwenda Kuna namna wananchi wameamka na kuelewa kinachoendelea kwaiyo sasa ni rasmi kuwa watanzania si wajinga tena kwenye mambo ya siasa. Wanajua kutofautiasha mbivu na mbichi, nyeupe na nyeusi, uongo na ukweli na hata uje na cheo chochote huna cha...
  2. R

    Hivi Jasusi la Mbinguni Gwajima alionekana kwenye video ya waumini wake waliosali barabarani?

    Aloooh Mwamba anajikubali sana, siku zote ukiwa unasimamia haki au ukweli na una vidhibitisho huwezi kuogopa ukiwa na Imani, achana na wale machawa wanaojificha kwenye dini kumbe hawana lolote.
  3. B

    Wakili Kibatala: Waumini 84 wa Gwajima waliokuwa wamekamatwa waachiwa kwa dhamana, 2 bado wanashikiliwa na polisi

    Waumini wamejua kuonesha umoja ambao watanzania wengi tunakosa, inabidi tuchukue mfano huu kutoka kwao. Maelfu kwa maelfu tukikemea uonovu wataweza kukamata nchi nzima? ==== Wakili wa utetezi wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, Peter Kibatala amesema waumini...
  4. Dr Adam Francis

    Gwajimanization: Ni ngwala au mileage?

    Kufuatia Press conference ya Askofu May 24, 2025 kuhusu utekaji, utesaji na mauaji, ambapo alidai huenda kipo kikundi kinachotenda mambo haya kwa maslahi ya mwanasiasa fulani, kumekuwa na mijadala mingi kitaifa yenye hisia mchanganyiko, huku chama chake kikimwona kuwa aliyepotoka. Pamoja na...
  5. M

    Taratibu za kufuta/kusitisha kazi za Jumuiya au Taasisi ya Kidini. Je, Kanisa la Gwajima limefungwa Kihalali?

    Nivema kutambua kwamba Katika muktadha wa Tanzania, utaratibu wa kisheria na kikanuni wa kufuta dhehebu au jumuiya ya kidini unategemea masharti yaliyowekwa chini ya sheria na kanuni husika na siyo hisia au msukumo wa kisiasa wa mtu na hasa kwa kuzingatia 1. Sheria ya Jumuiya za Kijamii (The...
  6. Waufukweni

    Diamond Platnumz amuoa Zuchu. Ni mpango wa kuuzima moto wa Askofu Gwajima?

    Wakuu Huu mbona kama ni mkakati hivi wa kutaka kututoa kwenye Reli? Msanii wa Bongo Fleva, Nadeem Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Zuhura Othman Soud maarufu Zuchu. Msanii wa lebo yake WCB Wasafi. Ndoa hiyo imeibuka katikati mjadala mkali baada ya...
  7. Valencia_UPV

    Wassira sema neno Sakata ya Gwajimanization!

    Makamu umenyuti Sana hatujakuzoea hivyo tafadhali okoa jahazi vinginevyo Askofu hana dogo huyu
  8. T

    Gwajimanization: Ni muda sasa wa viongozi wote wa Dini, Wakristo na Waislam kuwa wajasiri bila kutetereka kusema ukweli kwa waumini wao kuhusu dhuluma

    Ndugu zangu Ni muda mzuri wa viongozi wa dini zote kuwa Magwajima, wasambaze kirusi kwa waumini wote kwa kuwaambia ukweli kuhusu Dhuluma za CCM Tukifanya hivi kwa mwezi mmoja tu, tunaindoa CCM katika uso wa Tanzania Jumapili njema
  9. N

    PreGE2025 Askofu Gwajima: Sitayumba, sitabadilika na wala sitabadili msimamo!

    https://www.youtube.com/watch?v=NhpB9Zh2_6Y Askofu Gwajima ameanza kwa kuwaambia waumini wasimame na kuimba wimbo wa 'Tanzania Tanzania', na kuongeza japokuwa tuna makabila tofauti tofauti lakini Tanzania ni yetu sote. -- Gwajima anawaelezea waumini kuhusu mkutano wa waandishi wa habari...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Askofu Gwajima: Gwajimanization ni Ujasiri wa kusema Ukweli na kutikisa misingi ya ufisadi na dhulma katika nchi

    Askofu Josephat Gwajima ameielezea dhana ya Gwajimanization kama hali ya kuwa na ujasiri usiotetereka wa kusema ukweli na kutanguliza maslahi ya taifa mbele ya maslahi binafsi, hata kama ukweli huo unauma au hauwapendezi walioko madarakani. "Sasa nilipoona Gwajimanization nikataka niitafasiri...
  11. The Burning Spear

    Audio: Pata tafasiri halisi na Maana ya Neno "Gwajimanization"

    GT Sukikiza hii hapa mpaka mwisho..Mkuu.wa Nchi awe anachunga sana kauli.zake kwa umakini Mkubwa.
  12. and 100 others

    Je, huu ni mgogoro wa kweli au maigizo ya kisiasa?

    Inawezekana kabisa huu mgogoro wa huyu askofu vs Maza ikawa ni mbinu ya kuhamisha fikra za Watanzania kutoka kwenye fedheha ya kejeli za nje haswa 254 na EU , na kuwafanya washughulike na migogoro ya ndani yenye mvuto wa kisiasa na kihisia(diversion tactics).. Mi nasema huu ni mgogoro...
  13. McLaren

    PreGE2025 Askofu Gwajima ajibu mapigo. Asema Gwajimanization ni kusema ukweli hata kama hauwapendezi walioko madarakani

    Wakuu, Anaandika Askofu Gwajima masaaa kadhaa baada ya Rais Samia kumpa vitasa hadharani. Nyie huyu baba ana ujasiri! "Gwajimanization ni ujasiri usiotetereka wa kusema ukweli, haijalishi ukweli huo ni mchungu au hauwapendezi walioko madarakani. Ni dhamira thabiti ya kutetea maslahi ya Taifa...
Back
Top Bottom