glory

The year 2015 is the 4th year in the history of the Glory, an international kickboxing promotion. 2015 starts with Glory 19: Virginia, and ends with Glory 26: Amsterdam. The events are broadcasts through television agreements with Spike TV and other regional channels around the world.

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    Mahakama yasema Kanisa la Ufufuo na Uzima Tanzania ( The Glory of Christ Tanzania Church) Halijafungwa Wala Kufutwa, hivo Rufaa imetupiliwa mbali

    Kuna Pimbi wa Lumumba Jana kaja na Uzi ukisema "Gwajima kaangukia Pua Rufaa yake". Ruling hii maana yake, Mahakama inasema ,Kanisa la The Glory of Christ Tanzania Church hamna Mahali limefungiwa, Wala Kufutwa, Kwa sababu Barua ilosambazwa mitandaoni SIO Barua ilioelekezwa kwenye Kanisa la The...
  2. The Palm Beach

    Kanisa la Ufufuo na Uzima watangaza Kesho hakuna ibada katika makanisa yao yote ya Tanzania

    1. Hakutakuwepo na ibada ktk makanisa yote ya GCTC ya Tanzania kesho J'pili tarehe 8/6/2025 2. Wakristo na waumini wote wa makanisa hayo, wafanyie ibada zao nyumbani mpaka itakapotolewa taarifa nyingine 3. Sakramenti zote zilizokuwa zifanyike kesho mfano ufungaji wa ndoa, ubatizo, kubariki...
  3. Poppy Hatonn

    Nasikitika kwamba suala la kufungiwa Glory Church linapelekwa mahakamani

    Lile ni jambo la kufanyiwa uamuzi tu. Arresting a house maana yake the whole house is corrupt. Kwa mfano nyumba ya wavuta bangi, au danguro, linafungwa. Lakini unafungia vipi Kanisa ambalo Askofu mmoja ameongea dhidi ya serikali wakati wapo wachungaji wengine mia moja ambao hawajasikika...
  4. Kyambamasimbi

    Namtafuta Mtangazaji Glory Robinson a.k.a Mtoto wa Mama Sabuni

    Kuna mtangazaji Nguli, mwanadada Glory Robinson wa kipindi Cha Showtime wakiwa na kidebway na Bonanza sehemu ya pili sijui alipoteleaga wapi tangu alivyokuwaga RFA. Sijawahi isikia sauti yake sijui Yuko waapi, anayejua alipo...... Pls anijuze.
  5. Money Penny

    Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

    skia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa nikamwuliza amempataje mpenzi wake akanijibu Dada: Nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep...
  6. Mr Pixel3a

    Faida za Morning glory 😋

    Huongeza upendo(love), Huchangamsha mwili, Huongeza ufanisi kazini, Unasafisha mikosi na mabalaa Na mengineyo. Vijana tule vyumaa....
  7. Pfizer

    Bridal Shower: Honoring Eng. Glory Ndirimbi

    Wakina Mama wanaofanya kazi TANROADS waungana na Mfanyakazi mwenzao Eng. Glory Ndirimbi katika hafla yake ya Bridal Shower iliyofanyika Coz Cafe tarehe 25 Juni 2023 Dar es Salaam.
Back
Top Bottom