Habari za muda huu, leo nmeona itakuwa vema kushare na wana JF, nakala hii ambayo inaelezea hatua ambazo mimi huwa ninatumia kutengeneza websites zenye thamani kubwa na zinazozalisha matokeo makubwa.
Watu wengi sana wanafahamu jinsi ya kutengeneza websites, lakini wengi wao websites zao huwa...
Kama umekuwa ukiumiza kichwa, namna ambavyo utaweza kutengeneza website ya kisasa ya biashara yako, basi leo kupitia nakala hii ntakuonesha hatua kwa hatua jinsi ambavyo utaweza kutengeneza website kamili, nzuri, nadhifu na ya kisasa, kwa ajili ya biashara yako ndani ya muda mfupi sana...
Naomba kwanza niliweke wazi jambo hili kwamba … Kama kweli upo serious na Biashara yako, basi mambo yafuatayo hutoyaona kama ni Gharama bali ni Uwekezaji.
Sasa ntajaribu kuelekeza kwa ufupi kulingana na uzoefu wangu. Maana kwenye hili suala la gharama za website kuna mambo mengi mno, so...
Kwenye hii nakala nitakuonesha kwa ukamilifu kabisa jinsi ninavyoweza kutengeneza websites zenye mvuto (kama hiyo apo chini) bila ujuzi wowote wa lugha za kompuyta (programming languages) na pia ndani ya muda mfupi ( hata dk 10 ).
Unaweza ukawa unajiuliza CODING NI NINI??... Kwa Ufupi Coding...
Hello, je umeanzisha Kampuni au Biashara mpya na unatamani kuwa na website itakayobeba kampuni au biashara yako? au unayo Kampuni au Biashara muda mrefu tu, lakini umekuwa ukitamani kuwa na Website ili kukuza unachofanya?
Basi, naomba kusema kuwa nafasi ndio hii sasa, ya kubadilisha Biashara...
Fafanua vizuri kusudi la Website yako kwa wale wanoitembelea website yako.
UNapotengenza website yako kuanzia muundo mpaka kurasa za websiti yako jitahidi sana kuzifanya ziwe zinaonesha kwa urahisi zaidi dhumuni na kusudi la website yako kwa hao watu husika.
Na, Huna haja ya kuweka maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.