george masaju

George Mcheche Masaju was the Attorney General of Tanzania until February 1, 2018. He was appointed by President Jakaya Kikwete on 3 January 2015 and he continued to be the Attorney General in Magufuli's cabinet.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Jaji Mkuu Masaju: Heshima haitokani na cheo bali kwa huduma unayoitoa kwa Wananchi

    Jaji Mkuu, George Masaju ameyasema tarehe 04 Machi, 2026 mara baada ya zoezi la uapisho wa Mahakimu hao lililofanyika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma.
  2. R

    PostGE2025 Jaji Mkuu Masaju: Nani anasema Mahakama haipo huru? hii akili ya hovyo we won't entertain this

    Nimeona imezuka tabia ya hovyo sana; wakishinda kesi wanasema mahakama iko huru na wanaisifia, lakini siku wakipoteza kesi wanasema mahakama haiko huru. Nani anasema mahakama haiko huru? Hii ni akili gani? Mnataka kushinda kesi kwa ku-blackmail mahakama? Hatutakubali.” Hayo ni maneno ya Jaji...
  3. Waufukweni

    Jaji Mkuu, Masaju awacharukia Mawakili awaambia, "mnalialia hapa kama hamna Mamlaka"

    Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju amewacharukia mawakili na wadau wa mahakama kwa kushindwa kutumia vyema mamlaka waliyo nayo na kusababisha kuchelewa au kusuasua kwa kesi ambazo ushahidi wake umekamilika. Msikie alichokisema Masaju katika kikao cha pamoja cha wadau wa mahakama...
  4. The Palm Beach

    Jaji Mkuu George Masaju akemea na kuwaonya majaji na mahakimu wanaopindisha haki kwa maelezo kuwa ni "maelekezo toka juu". But, is he really serious?

    Nimemtazama na kumsikiliza Jaji Mkuu George Masaju mwanzo mwisho akiseminisha na kuelekeza majaji wake hapa. Anaonekana kuwa na mtazamo chanya contrary na mambo yalivyo chini ya utawala wa Rais Samia.. Swali ni: Atadumu kweli ktk hiyo nafasi yake kwa tabia yake ya kusisitiza HAKI, HAKI badala...
  5. Mkalukungone Mwamba

    Jaji Mkuu, George Masaju aagiza watuhumiwa kuwajulishwa Haki ya Dhamana

    Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju, ameziagiza Mahakama za Wilaya na Mahakama za Hakimu Mkazi kuhakikisha zinamjulisha kila mtuhumiwa iwapo kosa linalomkabili linastahili dhamana, kama sehemu ya haki yao ya kikatiba. Masaju amesema kuwa kutowajulisha washtakiwa kuhusu haki ya dhamana ni moja...
  6. M

    Agizo la Jaji Mkuu George Masaju ladaiwa kuharibu kesi za polisi mahakama za Mwanzo

    Ni agizo alilolitoa mapema mwaka huu baada ya kuapishwa kuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai mahakama za mwanzo waww wanajidhamini wenyewe Tatizo limekuja kuwa gumu baada ya wanaojidhamini mahakamani kutorudi tena na kutokomea kusikojulikana. Ingawa alielekeza kuwa kesi ziendelee upande mmoja...
  7. Waufukweni

    GE2025 Jaji Masaju aagiza mashauri ya uchaguzi yamalizwe mapema kujenga imani kwa Mahakama

    Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju amewataka majaji na Mahakimu kote nchini kumaliza kwa wakati mashauri yote ya kikatiba yanayohusiana na mchakato wa uchaguzi, ili kuimarisha imani ya wananchi kwa Mahakama na kuwapa uhakika walioshtaki kuhusu hatua za uchaguzi. Jaji Masaju ametoa kauli hiyo...
  8. Z

    Jaji Mkuu wa Tanzania George Masaju apendekeza kuwepo kwa mahakama za rufaa katika mikoa yote ya Tanzania

    Jaji Mkuu ameyasema hayo leo mara baada ya kula kiapo. Amepend2keza kuwepo kwa Mahakama ya Rufaa kwa kuanzia na Mikoa ya DSM, Mbeya na Arusha ili kurahisisha upatikanaji wa haki kwa wakati kuliko ilivyo sasa hadi majaji kutoka Dodoma watembelee jambo ambalo linachelewesha haki za wananchi...
  9. M

    Hongera Jaji George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania, nakuomba pokea ushauri huu ambao mtangulizi wako aliukataa

    Hongera sana Jaji George Masaju, sina shaka kabisa na wewe kuhusu utendaji wako wa kazi, umeandaliwa vizuri, ulikuwa mwanasheria mkuu wa serikali na kazi ilionekana, ukaenda kuwa mshauri wa Mhe Rais na kazi imeonekana, sasa piga kazi sisi vijana wako tunaounga mkono serikali hata kama hatuko...
  10. Z

    Jaji Mkuu George Masaju baada ya kuapishwa anza na mambo yafuatayo;-

    Kwanza nampongeza Jaji Masaju kwa kuaminiwa na Mhe. Rais na kumteua kuwa Jaji Mkuu mpya wa Tanzania. Mara baada ya kula kiapo tunashauri aanze na mambo yafuatayo;_ 1. Ondoa uonevu na upendeleo ndani ya muhimili wenyewe, jenga umoja na mshikamano. tenda haki kwa watumishi wote bila upendeleo...
  11. M

    Rais Samia amteua Jaji George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani Mheshimiwa George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Mheshimiwa Masaju anachukua nafasi ya Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu. Uapisho wa Jaji...
  12. Mwana Mpotevu

    Rais Kikwete amteua George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam. Kabla ya...
Back
Top Bottom