Habari wana forum kwamajina naitwa Hassan Manz ni mkaz wa Dar es salaam naishi Temeke ninatafuta gari aina ya toyota alphard au vellfire kwajili ya kufanyia kazi iwe kwa mkataba au kwa hesabu nipo tayari nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi hizi za kuendesha gari aina hizi
Kwa mawasiliano...
Hili gari pichani linauzwa kwa bei ya Tsh. 9,500,000 (maongezi yapo). Injini yake ni ya Mitsubishi. Ukubwa wa Injini ni CC 2200. Ina bodi ya kuweza kubeba mizigo, yaani pick up.
Matairi ni makubwa kwa hiyo linamudu kupita kwenye barabara korofi kwa sababu gari lipo juu.
Mbele linaweza kuchukua...
Hello wakuu.
Naombeni msaada wenu please,
Nahitaji bank ambayo inatoa mkopo wa kununulia gari ya kufanyanyia Kazi, mwenye uzoefu wa hii issue naomba msaada wenu please gari yenyewe ndio hiyo. Ni Howo pamoja na flatbed trailer yake kutoka China.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.