galaxy

  1. Nahitaji kioo cha Samsung Galaxy S7 edge kilichotumika

    Mwenyekioo cha hii simu anicheki haraka, Kiwe used. Offer chini ya 100k. Maeneo ya Dar, Moro na Dom tunaweza kuwasaliana kwa haraka zaidi. Mawasiliano 0715175518.
  2. Wadau, wapi nitapata betri orijino ya Galaxy J2 Pro

    habari ya wakati huu wadau. ninatumia Samsung J2 Pro kwa miaka mitatu sasa. lakini sasa betri yake imechoka. ikiwa na asilimia 30 simu inazima pia betri yake imevimba. Naombeni mnijuze wapi naweza pata betry yake orijino. nipo Iringa. Natanguliza shukrani
  3. Xiaomi wazindua the fastest charging phone around

    Kampuni ya electronics, XIAOMI, Imezindua simu mpya ( Xiaomi Mi 10 Ultra) yenye 4,500 mah battery inayoweza kwenda 0% to 100% charge ndani ya dakika 20 tu ikitumia official charger ya watts 120 🔥 Pia simu hiyo ina support 50 watts wireless charging ambapo itatumia 40 minutes pekee kujaa Simu...
  4. M

    Samsung galaxy s6 used 60,000 TZS

    Imeuzwa tayari
  5. Galaxy Note 5 "No service"

    Niaje wakuu, niliflash simu yangu aina ya galaxy note 5 N9200 (HongKong version).. hii simu baada ya kuflash haioneshi network.. yaani line haipandishi mtandao.. No service/no network connection. Nimejaribu kuchange sim cards kadhaa, ku reflash na baadhi ya hatua kadhaa lakini bado. Je hili...
  6. "Samsung galaxy A10s inakataa kulog in

    Habari wapendwa natumaini mnaendelea vizuri Naenda straight to the point Nina simu Aina ya Samsung galaxy A10s, cha ajabu nikiingia kwenye account yangu kulogin hasa account yangu ya matokeo ya chuo Google Chrome, au browser nyingine kama opera mini.zote zinakataa inaniambia kuwa incorrect...
  7. Msaada: Samsung Galaxy ipi ni bora na nzuri?

    Mimi ni mgeni kwenye hizi simu aina ya SAMSUNG kuna zinazoanzia na S..... zingine A.... mfano S-5 na A30 na nasikia tena kuna A7 ipi kati ya simu hizi ni Bora???
  8. N

    Msaada kurekebisha samsung galaxy s7 edge camera

    Habari wakuu usikeni na kichwa cha habari apo juu simu yangu samsung galaxy s7 edge tangu juzi imeanza tatizo la kutofungua camera please wajuzi tusaidiane niweze tatua ili tatizo.
  9. Phone4Sale Samsung Galaxy A8 on sale only 250,000/=

    Mambo vip wakuu? Sumsung Galaxy A8 inauzwa Price: 250,000/= Storage: 16GB Condition: Excellent condition with No scratch Android Version: 5.1.1 Location: Tabata Segerea(DSM) Contact: 0682823028
  10. Ninauza simu Samsung Galaxy A8

    Bei ni 250,000/= Imetumika. Ni nzima lakini Kioo cha juu kimepasuka. Tofauti na kioo haina tatizo zaidi. Picha:Sijaweza kuambatanisha picha kwa kuwa ninatumia des. comp. Mnunuzi tuwasiliane kwa namba:- 0679494815 Napatikana Dar es salaam.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…