g55 chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Glory Tausi: G55 tulitoa mawazo mazuri CHADEMA, lakini yalipuuzwa

    Kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Edwin Odemba Mwanachama wa zamani wa CHADEMA, na Mmoja wa kundi la G 55 kwa wakati huo, ambaye kwa sasa ni Mgombea Ubunge jimbo la Kawe kupitia Act Wazalendo Glory Tausi amesema G 55 walitoa mawazo yetu mazuri kwa Chadema ya namna...
  2. GE2025 Hivi wale 'watia nia wa Chadema' (G55) waliokimbilia Chaumma wameshachukua fomu za kugombea? Wako kimya mnoo

    LIle genge la watia nia wa Chadema wa kutaka kugombea ubunge na udiwani kwenye uchaguzi wa mwaka huu, maarufu kama G55, wakati Chadema ikiwa kwenye harakati za NRNE kisha baadhi yao kuamua kumtimkia CHAUMA sijui limefikia wapi kwenye mpango wao wa kugombea. Siwasikii popote wakijinadi wakati...
  3. Ukitaka kuchanganyikiwa basi kaangalie mahojiano ya jana ya John Mrema na Ciza Clouds tv

    Mtu unaweza kudhani hivi inakuwaje watu wengine walizaliwa binadamu? Mfano wa huyu mtu ni John Mrema. Aisee nimeangalia mahojiano yake jana ndani ya clouds tv nikaishia kuchanganyikiwa. Nimejiuliza kwanini aneamua kuchagua njia ngumu hivyo ya kuendelea kuishi. Kuliko njia ile ni heri kuishi...
  4. PreGE2025 Boni Yai: Mbowe yuko likizo. Ukimya wake haumaanishi kwamba amenuna au anafanya sabotage. Mimi naongea nae, hana akili hizo

    Wakuu, Akizungumza leo na waandishi wa habari, Boni Yai amekanusha madai kwamba Freeman Mbowe yuko nyuma ya kundi la G55, akisisitiza kuwa tuhuma hizo si za kweli. Amesema kuwa kwa sasa Mbowe yuko likizo na anaendelea na shughuli zake binafsi kama kawaida.
  5. PreGE2025 Boni Yai: Mimi Boniface Jacob sihami CHADEMA

    Wakuu. Siku ya leo aliyewahi kuwa ni Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai ataongea na waandishi wa habari baada ya ukimya wa muda mrefu. Press itaanza muda wowote kuanzia sasa. Tutegemee nini? Ataendelea kushikilia "No Reforms No Election" au nae atatema bungo kama G55? Kaa...
  6. Z

    Kusambaratika kwa CHADEMA ni dalili tosha kuwa bado tuna safari ndefu ya kuwa na vyama imara vya upinzani

    NCCR mageuzi ilikuwa na nguvu miaka ya 1995 ikasambaratika!! CUF miaka ya 2000 ikasambaratika. CHADEMA miaka ya 2015, leo hii imesambaratika na kufa kifo cha mende. Bado hatujapata vyama serious vya upinzani, wengi wao wanapigania maslahi ya matumbo yao na jamaa zao. Nimeamini kuwa CCM...
  7. PreGE2025 John Mrema: Madai ya kuwa nimekimbia na YouTube na X za CHADEMA si kweli, sikuwa hata na Password ya hiyo Mitandao

    Baada ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche kueleza kuwa Akaunti za chama za X (Twitter) na YouTube zimechukuliwa na John Mrema na kudai alikuwa akipata faida binafsi kupitia mitandao hiyo ya chama, Mrema ametoa ufafanuzi upande wake. John Mrema ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Itifaki...
  8. PreGE2025 Maria Sarungi adai kuna mpango wa siri wa kuipa CHAUMMA asilimia 7 ya kura za Urais na viti maalum 20 ili wapate ruzuku

    Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu...
  9. PreGE2025 Hashim Rungwe: Waliojiondoa CHADEMA bado hawajafika CHAUMMA

    Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikiendelea kukumbwa na mtikisiko wa ndani, mamia ya wanachama wake wanaripotiwa kujivua uanachama, huku wakihusishwa na mpango wa kujiunga na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), kikiwa miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa rasmi nchini...
  10. PreGE2025 Morogoro: Viongozi wengine wa CHADEMA wajivua uanachama, wasema Tulisema No Reform kama kutishia tu

    Wakuu, Lile wimbi la wanachama wa CHADEMA kujivua uanachama linaendelea Siku ya leo Viongozi wa Chadema Mkoa Morogoro wilaya, Majimbo, Kata na Matawi wakiongozwa na aliyekuwa Mbunge wa Mlimba Suzan Kiwanga wamejivua uanachama wa CHADEMA. Wakizungumza kwenye mkutano waliofanya na waandishi wa...
  11. PreGE2025 Lema: G-55 wanaondoka kwasababu CHADEMA ni Chama cha Upinzani siyo Chawa

    Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Godbless Lema akiongea na wananchi wa Mkoani Mwanza hapo jana Mei 12 katika ziara yao ya "Bila mabadiliko hakuna Uchaguzi" ameeleza kuwa "Wanaondoka kwasababu Mungu anaipenda Chadema, Chama hiki kwasababu ni cha Upinzani lazima...
  12. PreGE2025 Wanachama wengine wa CHADEMA wakiongozwa na Katibu wa G55 Edward Kinabo watangaza kujivua Uanachama

    Wakuu, Mambo yanazidi kuchangamka huko, mvua inayesha tunaona panapovuja. Tusibiri saa tano kamili tuone kitakachojiri. https://www.youtube.com/live/0O9B4aH_fag?si=gZorh7bK6lTU3LTJ Edward Kinabo - Aliyekuwa Mratibu wa Habari na Mawasiliano wa kampeni za Freeman Mbowe "Kauli zilizotolewa...
  13. PreGE2025 John Heche: Wanaoondoka CHADEMA ni matokeo ya mabadiliko ya uongozi, si ubaguzi

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, John Heche amesema ndani ya chama hicho hakuna ubaguzi bali ni mabadiliko ya kawaida ya viongozi. Heche amesema hayo leo Alhamisi, Mei 8, 2025 mkoani Kagera katika mikutano ya operesheni ya No reforms, no election 'bila...
  14. PreGE2025 Heche: Wale G55 wanaenda Chama kingine ili ionekane Chadema imekufa, sisi hatununuliki

    John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wilayani Kyerwa Mkoani Kagera leo Mei 07, 2025. "Leo mnaishi kwenye nchi ya asali na maziwa, watu wetu ni maskini, matibabu ni ya shida hata barabara ya kuunganisha wilaya na wilaya ndio hiyo tunatembea - kwa...
  15. PreGE2025 Salim Mwalimu aliyejiondoa CHADEMA: Lissu, Heche na Mnyika walikuwa wananichukia

    Wakuu, Kwanza ningependa kumpongeza Charles William kwa kufanya mahojiano yenye level kubwa sana ya professionalism. Yaani ameweza kuuliza maswali kwa huyu Salim Mwalim mpaka akaanza kujikanyaga kanyaga akiwa live. Soma pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania...
  16. Majibu ya Hoja ya G55: Hii ndiyo Mikakati ya CHADEMA inayotumia kuitekeleza agenda ya NO REFORMS, NO ELECTION.

    Kwanza, tuwashukuru hawa jamaa wanaojiita G55 (kundi asi lililokuwa ndani ya CHADEMA) kujitokeza leo na kutangaza rasmi na kwa hiari yao wenyewe kuwa wanajiondoa CHADEMA. Ni vyema sasa kuwa wamekiri kushindwa kwa nia yao ovu wenyewe kwa midomo yao... Pamoja na sababu zingine wanazozitaja za...
  17. Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Wataalamu wa historia wanasema historia hutuambia kwa nini tupo hapa. Nimelazimika kutafakari na kurejea matukio mbali mbali yanayomhusu Mwenyekiti Mbowe kabla ya kupumzishwa na wanachama kwenye nafasi ya wenyekiti wake. Nimerejea matukio mbali mbali hususani baada ya mwenyekiti Mbowe kutoka...
  18. PreGE2025 No reforms no election yazidi kuungwa mkono

    "Kama WanaChadema tulitumia HAKI yetu kukishauri Chama chetu kupitia (waraka maarufu wa G55), lakini mpaka sasa ni wazi Chama hakijakubaliana na ushauri wetu. Katika Demokrasia kuna wengi wape, wachache wasikilizwe. Ukifanya Fact-Check wengi wanasema kwa sasa twende na #NoReformsNoElection...
  19. E

    Utata wa G55 CHADEMA

    Tangu kundi la G55 linalohusisha makada wa Chadema wanaotaka chama hicho kishiriki uchaguzi, kumekuwa na maswali mengi kuhusu malengo ya kundi hilo. Kundi hilo linakuja na msimamo wa kutaka kushiriki uchaguzi kinyume na kampeni ya No reforms No election (Hakuna mmabadiliko, hakuna uchaguzi)...
  20. PreGE2025 Baba Bony acharuka: aonya G-55 kwa kupinga msimamo wa 'No Reforms, No Election'

    Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA Jimbo la Arusha Mjini, Emanuel Zakaria maarufu kama Baba Bony, ametoa onyo kali kwa kundi la G- 55 ambalo linapinga msimamo rasmi wa chama hicho wa "No Reforms, No Election" kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Akizungumza mara baada ya tamko la aliyekuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…