Mheshimiwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, kamwe, kamwe usiyumbishwe na hawa jamaa wanaojiita G.55.
Nikuombe usihangaike nao. Hapa ni kwamba, No reforms No election imeshaanza kubisha hodi kwa mahasimu wetu. Hapa pana kitu nyuma ya pazia. Hii ni mbinu ya kujaribu kukutoa kwenye reli...
Ni yule yule aliyelamba asali ya lowassa 2015 na kumpitisha kuwa mgombea kwa kubadili gia angani.
Ni yule yule aliyekuwa nyuma ya Covid19 akiwafundisha mbinu za kuwaingiza bungeni viti maalum kwa barua za siri huku akiwakana mbele za kamera 2020-21
Ni yule yule aliyesema hatogombea uenyekiti...
Wiki hii, tulichangamshwa na habari juu ya kuibuka kwa kundi jipya linalojiita G55 ndani ya chama kikuu cha upinzani nchini, CHADEMA.
Kutambulishwa rasmi kwa kundi hili kulitanguliwa na kuvuja kwa mawasiliano ya kundi la WhatsApp linalojiita G55. Mawasiliano haya yalivuja wakati uongozi wa...
Pamoja na kwamba bado sijaelewa hasa Malengo ya Watu hawa ambao wengi walikuwa viongozi wa Juu wa Chama, lakini sitaki kuwasingizia lolote, na ndio maana napendekeza Waitwe ili watupe siri ambayo kama tutaingia kwenye uchaguzi kwa hali hii tutatendewa haki.
Wengi wa watu hawa kama siyo wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.