flyover

Anna Flyover, also known as Gemini Flyover, is a dual-armed grade separator in the central business district of Chennai, India. Built in 1973 and dubbed one of the top-rated flyovers in the country, it is Asia's First Grade Separator, the first flyover in Chennai and the third Flyover in India, after the ones at Kemps Corner and Marine Drive in Mumbai. It was the longest flyover in the country when it was built. Its main purpose is to allow traffic movement on Mount Road—now renamed Anna Salai—near Nungambakkam High Road (Uthamar Gandhi Salai) to continue unhindered by the cross traffic. The presence of the Gemini Studios, which was demolished later, resulted in the flyover coming to be known as Gemini Flyover and the area being referred to as the Gemini Circle.
On two sides of the circle roundabout below the centre of the flyover are two identical statues of a man controlling a horse placed there to commemorate the banning of horse racing.
Anna Flyover has been beautified with other elements such as water fountains, landscaping of its 24,000 square feet (2,200 m2) traffic islands, cove lighting under the traffic movement area, restoration of the horse statue, a toilet for the police personnel, murals depicting social messages, and so forth.

View More On Wikipedia.org
  1. FRANCIS DA DON

    Je, Tanzania imeokoa Trillion 3 za hasara ya foleni Ubungo flyover?

    Nimepiga hesabu za haraka haraka, kwa makadirio, Tanzania imeshaokoa shs. Trillion 3 ambazo zingepotea kutokana na hasara inayoletwa na foleni, tangu kufunguliwa kwa Ubungo flyover. Je, kiwango hiki cha pesa kina uhalisia?
  2. Lee

    KERO TAZARA (Mfugale FLYOVER) kutofatwa sheria na utaratibu wa barabarani hasa wakati wa usiku imekuwa donda sugu

    Wanajamvi salaam, kwa kipindi nmekuwa mtumiaji wa barabara ya nyerere road inayopita Tazara hasa pale flyover ,wakati wa usiku kumekuwa na changamoto kubwa ya kutofata utaratibu wa sheria barabarani pale kwenye Junction ya kutokea airpot, taifa , au mjini na yale magar yanayotoka buguruni kila...
  3. FRANCIS DA DON

    Mwenge flyover ni mwisho wa matatizo. Ujenzi wake unaanza lini?

    Video kama hizi zilikuwa zinaleta hamasa kubwa sana na ikiketw fahari kuwa mTanzania , kwa sasa nchi imepoa sana. Anyway, ujenzi wa flyover ya Mwenge unaanza lini, maana hali ni mbaya sana, hapafai!
  4. FRANCIS DA DON

    Nitafurahi endapo tozo ya mwezi Septemba itaenda kujenga flyover mataa ya Morocco

    Taarifa ya awali inasema takriban billion 50 zimekusanywa katika wiki 4 za mwanzo kupitia tozo mpya ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Tumeambiwa kwamba tayari billion 15 na bilion 7 zimeshatolewa kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya 150 pamoja na kufanya finishing ya maboma ya madarasa yapatayo...
  5. MPUNGA MMOJA

    Flyover yazidiwa, foleni yake yashangaza watu

    Leo kwa mara ya kwanza wakazi wa Dar Salaam hasa wameshangazwa na foleni ya magari katiki barabara ya Juu (Flyover). "Tumekua tukiamini hii jia ya juu ndio suluhisho la foleni ajabu leo tunaona nayo ina foleni" alisikia mmachinga wa karibuna eneo hilo.
  6. B

    Ujenzi flyover chang'ombe /uhasibu

    Naomba kujuzwa kuhusiana na ujenzi unaendelea wa flyover chang'ombe /uhasibu maana yangu ni kuwa kwa nini hawa wakandarasi wakati wa ujenzi hawamalizi kwanza upande mmoja ili kupunguza msongamano ndio waendelèe na mwingine kuliko upande mmoja haujaisha wao wameshanza mwingine msongamo inazidi...
  7. Mathias Byabato

    Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

    Tulikotoka Ujenzi wa daraja hilo lililopewa jina la Mfugale ulioanza miaka miwili iliyopita umegharimu Sh bilioni 92 hadi kukamilika kwake, huku Serikali ya Japan kupitia Shirika la Maendeleo la nchi hiyo (JICA) likichangia Sh bilioni 26. Jina la Mfugale limetokana na jina la Ofisa Mtendaji...
Back
Top Bottom