Eng. Mohamed Isse Ali (Somali: Maxamed Ciise Cali, Arabic: محمد عيسى علي) (born in 1956), also known as Col. Mohamed Isse Ganaje, is a Somali engineer, Navy commander, and politician. Lacle has extensive experience in naval warfare, electricity and mechanics, politics and diplomacy. He has taught subjects in naval warfare and engineering in the Technical Maritime Intermediate School of the National Somali Navy and served as director from 1981 to 1982. He served in the Somali Navy from 1975 to 1991 and held several commanding positions at his time before the Somali Civil War broke. He holds the rank of naval captain. He currently resides in Garoe, the capital of Puntland.
Wakuu
I salute you kinsmen
Kiukweli Simba wamefanya utoto mkubwa sana kugoma kuhudhuriq shughuli iliyoandaliwa na Rais wa African club association ACA na mjumbe ilipo kamati kuu tendaji ya FIFA. Ambaye sote tunamjua ni Hersi.
Sasa shirikisho hili la Africa nzima ikiwemo Simba ipo chini ya...
I salute you kinsmen
Nimeona kelele nyingi sana zikitaka Romain Folz afukuzwe
Well kila mtu ana lake ila kwa mtazamo mkali kabisa nimeona tatizo kubwa lilikuwa hapa..
Kilichomsaidia Miloud Hamdi ni kitu kimoja tu
Yule jamaa aliyekuwa mkurugenzi wa ufundi msomali bwana Moalim.
Katika yanga...
Yanga sio sehemu ya wanafunzi kufanya field
Folz sio coach Bali ni tapeli tu
Binafsi simhukumu Kwa matokeo ya Leo huko Mbeya, Mimi kama mwanamichezo naelewa hayo ni matokeo ya kawaida katika ligi
Huyu coach ni tapeli ana bahatisha
Kwa foundation course yangu ya coaching hizi ndo mbinu...
Yaani wewe Eng Hersi Said . boss wako atoe billion 10 kwa Ccm then wewe wakunyime ubunge ?
Aliyepo nyuma ya maanguko yako ni huyo Boss wako Gharib anataka uendelee kukaa hapo unamtimizia malengo yake hagupo tayari kukuona unakuwa na empire yako
Sahau kabisa kuwa Mbunge
Kama huyu jamaa kaamua kwenda Kongwa basi naamini kuwa we are done .
==
Mwananchi wameeleza kuwa baadhi ya majina ya wanachama 24 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu kuwania uteuzi wa kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa kufuatia kifo cha aliyekuwa hayati Job Ndugai yameanza...
Nimechukizwa na Kitendo cha Eng Hersi Said kutangaza kuchangia milion 100 CCM bila rushwa yetu Wanachama
Yanga ni timu ya Wanachama
Hiyo milion 100 ilipitishwa na mkutano Gani ikachangie kampeni za CCM
Eng Hersi Said umetugawa sisi Wanachama wa Yanga ambao sio Wanachama wa CCM,
Au unataka...
Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni,
Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke
Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi
Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na mafanikio kimataifa,
Amefanya biashara ya mpira na kiuwezesha timu ya Yanga kuwa Moja ya timu kubwa...
I salute you kinsmen.
Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi.
Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache...
Djibril Sillah amegoma kuongeza mkataba pale Chamazi
Mkataba wake unakoma June, 2025
Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya wananchi msimu ujao
Rai yangu Kwa Eng Hersi na viongozi wengine wasijaribu kusajili hili garasa...
Morocco imechaguliwa kuwa Makao Makuu ya Chama kipya cha vilabu vya Afrika kinachoongozwa na Eng.Hersi Said.
Baada ya mchakato wa ushindani wa zabuni uliohusisha Afrika Kusini, Morocco, na Algeria, Morocco iliibuka kuwa chaguo la pamoja wakati wa mkutano wa bodi ya ACA uliofanyika jana.
Makao...
Anachokifanya hivi sasa ni kama amefikia ukomo wa uwezo wake, au anajiandaa kuondoka lakini anataka aiache timu katika mazingira ambayo inapelekea akumbukwe.
Amefanya mambo makuwa sana ndani ya Yanga na kujijengea heshima. Lakini Kwa ninachokiona hivi sasa, ni dhahiri kuna mgogoro ndani ya...
Wakuu habari,
Ukitafakari kwa umakini kabisa utaona kati yabHersi au GSM kuna mmoja wapo atagombea ubunge mwaka 2025, Sifa ya kwanza ya kuwa mbunge hapa bongo ni kuwa karibubu na viongozi wa CCM, kuwa maarufu, kuwa na mtaji wa watu.
Hivi karibuni timu yetu imekuwa ikicheza na akili za...
Katumia platform ya Yanga kujulikana CAF, kuongea na vilabu vikubwa vya Ulaya, kukutana na wachezaji wakubwa, n.k, lkn Yanga inazidi kudorora na kuporomoka.
Yanga ni ya kushindwa kuvuka makundi kweli? Ndiyo! Yanga haitavuka makundi, kwasabb mchezo ujao atakuwa DR Congo kucheza na TP Mazembe...
Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika.
Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.