eng hersi

Eng. Mohamed Isse Ali (Somali: Maxamed Ciise Cali, Arabic: محمد عيسى علي) (born in 1956), also known as Col. Mohamed Isse Ganaje, is a Somali engineer, Navy commander, and politician. Lacle has extensive experience in naval warfare, electricity and mechanics, politics and diplomacy. He has taught subjects in naval warfare and engineering in the Technical Maritime Intermediate School of the National Somali Navy and served as director from 1981 to 1982. He served in the Somali Navy from 1975 to 1991 and held several commanding positions at his time before the Somali Civil War broke. He holds the rank of naval captain. He currently resides in Garoe, the capital of Puntland.

View More On Wikipedia.org
  1. stakehigh

    Eng Hersi sjui ulimtoa wap Djigui Diarra, Huyu ni kipa wa makipa

  2. Its Pancho

    Kwanini Simba wamegoma kutii wito wa bosi wao kutoka ACA Eng Hersi?

    Wakuu I salute you kinsmen Kiukweli Simba wamefanya utoto mkubwa sana kugoma kuhudhuriq shughuli iliyoandaliwa na Rais wa African club association ACA na mjumbe ilipo kamati kuu tendaji ya FIFA. Ambaye sote tunamjua ni Hersi. Sasa shirikisho hili la Africa nzima ikiwemo Simba ipo chini ya...
  3. Its Pancho

    Eng Hersi usimfukuze Folz wala kumleta Nabi wala hamdi ila fanya yafuatayo

    I salute you kinsmen Nimeona kelele nyingi sana zikitaka Romain Folz afukuzwe Well kila mtu ana lake ila kwa mtazamo mkali kabisa nimeona tatizo kubwa lilikuwa hapa.. Kilichomsaidia Miloud Hamdi ni kitu kimoja tu Yule jamaa aliyekuwa mkurugenzi wa ufundi msomali bwana Moalim. Katika yanga...
  4. ngara23

    Eng Hersi Said, kufumba na kufumbua, nahitaji huyo coach tapeli Roman Folz aondoke

    Yanga sio sehemu ya wanafunzi kufanya field Folz sio coach Bali ni tapeli tu Binafsi simhukumu Kwa matokeo ya Leo huko Mbeya, Mimi kama mwanamichezo naelewa hayo ni matokeo ya kawaida katika ligi Huyu coach ni tapeli ana bahatisha Kwa foundation course yangu ya coaching hizi ndo mbinu...
  5. Knock life

    Hersi Said, Kama unataka Ubunge usipate shida ongea na Gharib , tofauti na hapo utaendelea kuliwa laki tano zako za Fomu bure

    Yaani wewe Eng Hersi Said . boss wako atoe billion 10 kwa Ccm then wewe wakunyime ubunge ? Aliyepo nyuma ya maanguko yako ni huyo Boss wako Gharib anataka uendelee kukaa hapo unamtimizia malengo yake hagupo tayari kukuona unakuwa na empire yako Sahau kabisa kuwa Mbunge
  6. Knock life

    GE2025 Kama Eng Hersi Said ameenda kugombea Kongwa naanza kuona harufu fulani puani kwangu

    Kama huyu jamaa kaamua kwenda Kongwa basi naamini kuwa we are done . == Mwananchi wameeleza kuwa baadhi ya majina ya wanachama 24 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu kuwania uteuzi wa kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa kufuatia kifo cha aliyekuwa hayati Job Ndugai yameanza...
  7. ngara23

    GE2025 Eng Hersi Said kuchangia CCM milion 100 ada zetu za uanachama ni kutudharau sisi wanayanga

    Nimechukizwa na Kitendo cha Eng Hersi Said kutangaza kuchangia milion 100 CCM bila rushwa yetu Wanachama Yanga ni timu ya Wanachama Hiyo milion 100 ilipitishwa na mkutano Gani ikachangie kampeni za CCM Eng Hersi Said umetugawa sisi Wanachama wa Yanga ambao sio Wanachama wa CCM, Au unataka...
  8. ngara23

    GE2025 Eng Hersi Said aachwa ubunge Kigamboni Shafii Dauda apeta Temeke

    Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni, Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
  9. Pdidy

    HIvi Eng. Hersi ni member WA BODI ya LIGI kama ndio anasubiri nini kujitoa?

    Nkauliza tu Kama huyu mtu engn n member WA BODI ya LIGI Kama ndio Anasubiri nn kujitoa kuwachana na wale
  10. ngara23

    Eng Hersi Said analitaka Jimbo la Kinondoni

    Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na mafanikio kimataifa, Amefanya biashara ya mpira na kiuwezesha timu ya Yanga kuwa Moja ya timu kubwa...
  11. Its Pancho

    Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

    I salute you kinsmen. Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi. Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache...
  12. ngara23

    Eng Hersi usijaribu kumsajili Djibril Silla wa Azam

    Djibril Sillah amegoma kuongeza mkataba pale Chamazi Mkataba wake unakoma June, 2025 Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya wananchi msimu ujao Rai yangu Kwa Eng Hersi na viongozi wengine wasijaribu kusajili hili garasa...
  13. ngara23

    Ofisi ya Mwenyekiti wa vilabu Africa, Eng Hersi Sasa itakuwa Marakesh Morocco

    Morocco imechaguliwa kuwa Makao Makuu ya Chama kipya cha vilabu vya Afrika kinachoongozwa na Eng.Hersi Said. Baada ya mchakato wa ushindani wa zabuni uliohusisha Afrika Kusini, Morocco, na Algeria, Morocco iliibuka kuwa chaguo la pamoja wakati wa mkutano wa bodi ya ACA uliofanyika jana. Makao...
  14. PakiJinja

    Inawezekana Hersi anajiandaa kuondoka Yanga

    Anachokifanya hivi sasa ni kama amefikia ukomo wa uwezo wake, au anajiandaa kuondoka lakini anataka aiache timu katika mazingira ambayo inapelekea akumbukwe. Amefanya mambo makuwa sana ndani ya Yanga na kujijengea heshima. Lakini Kwa ninachokiona hivi sasa, ni dhahiri kuna mgogoro ndani ya...
  15. OMOYOGWANE

    Anguko la Yanga limechangiwa na Eng Hersi mwenyewe na GSM kuwa na tamaa ya madaraka ya kisiasa mwaka 2025

    Wakuu habari, Ukitafakari kwa umakini kabisa utaona kati yabHersi au GSM kuna mmoja wapo atagombea ubunge mwaka 2025, Sifa ya kwanza ya kuwa mbunge hapa bongo ni kuwa karibubu na viongozi wa CCM, kuwa maarufu, kuwa na mtaji wa watu. Hivi karibuni timu yetu imekuwa ikicheza na akili za...
  16. G

    Eng. Hersi anatumia Yanga kujijenga yeye na siyo kuijenga Yanga

    Katumia platform ya Yanga kujulikana CAF, kuongea na vilabu vikubwa vya Ulaya, kukutana na wachezaji wakubwa, n.k, lkn Yanga inazidi kudorora na kuporomoka. Yanga ni ya kushindwa kuvuka makundi kweli? Ndiyo! Yanga haitavuka makundi, kwasabb mchezo ujao atakuwa DR Congo kucheza na TP Mazembe...
  17. Labani og

    Eng Hersi ashinda tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango zaidi Africa

    Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika. Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na...
Back
Top Bottom