Edwin Soko Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari nchi za Kusini mwa Afrika, akizungumza Novemba 5, 2025 katika Mjadala wa Nafasi ya Vyombo vya habari katika Uchaguzi wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, 2025 na kuambatana na vurugu za Maandamano ambapo Vyombo vya habari vilikaa kimya na umma...
Kwa miaka mingi, MISA Tanzania imekuwa ngome ya uhuru wa vyombo vya habari na nguzo ya haki katika kusimamia misingi na maadili ya taaluma ya habari nchini. Imehudumia wanahabari kwa uaminifu, ikisimama kama dira ya kitaaluma na chombo cha utetezi wa msingi wa demokrasia.
Hii ni taasisi...
SOKO ACHAGULIWA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI MPYA WA MISA -TAN
Wednesday, December 04, 2024
Mwenyekiti Mpya wa MISA- TAN Edwin Soko
Mwenyekiti Mpya wa MISA- TAN Edwin Soko
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkutano Mkuu wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.