dkt mwigulu nchemba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. USSR

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba azindua Boti mbili za doria uokozi

    WAZIRI MKUU AZINDUA BOTI MBILI ZA DORIA NA UOKOZI ▪️Atoa siku 14 Kituo cha Kitaifa cha Oparesheni kianze kufanya kazi WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba Aunguruma. Apiga Marufuku Na kutoa Maagizo ya Kukamatwa na kufuatiliwa viongozi Wanaojadili kuhusu Uchaguzi Wa 2030

    Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Mr CLEAN Amepiga Marufuku Na kutoa Maagizo Mazito kwelikweli ya kufuatiliwa na kukamatwa wale Viongozi Wote Ambao wamekaa maofisini na kwenye makundi ya Wasapu wakifanya kazi ya kujadili kuhusu Uchaguzi...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba Awa Mshauri wa Kanisa La Anglikana Tanzania Baada ya Kuridhishwa na Uchapakazi wake. Achangisha Zaidi ya Billion Moja.

    Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba maarufu kama Mr Clean kama ambavyo watanzania wengi hupenda kumwita . Amepata na kupewa heshima ya kipekee kabisa ya kuwa Mshauri wa Kanisa la Anglikana Tanzania Baada ya...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba: Ukitaka Siasa Anzisha Chama Chako Usipeleke Siasa Makanisani Kuvuruga Kanisa na kuleta Fujo

    Ndugu zangu Watanzania, Hayo ni maneno mazito na yenye kubeba uzalendo yaliyozungumzwa na Mheshimiwa waziri Mkuu wetu Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Mr Clean siku ya Leo. Soma hapa 👉Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ametoa rai kwa wananchi...
  5. w0rM

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli ya hii ya Mwigulu, anafaa kuwa shahidi namba moja kwenye utekaji na mauaji yanayotokea nchini

    Katika mwendelezo wa hotuba yake akiwa Iringa leo, Mei 23, 2026, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amezungumzia kuhusu wimbi la taarifa za utekaji zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akizitaja kuwa ni “michezo na ajenda maalum” zilizoratibiwa na watu wenye akili wanaolenga kuivuruga na kuichafua...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Afrika na Ufaransa wajadili uwekezaji na Maendeleo, Dkt. Mwigulu asisitiza matumizi sahihi ya rasilimali ili kujenga uchumi wa Afrika

    VIONGOZI WA AFRIKA NA UFARANSA WAJADILI UWEKEZAJI NA MAENDELEO ▪️Dkt. Mwigulu asisitiza matumizi sahihi ya rasilimali ili kujenga uchumi wa Afrika ▪️Rais Macron atangaza uwekezaji wa dola bilioni 27 Barani Afrika WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 12, 2026 ameshiriki katika ufunguzi...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba Kuna Uwezekano Ni Waziri Mkuu Wa Kwanza kukutana na Wananchi wengi zaidi ndani ya Muda Mfupi na kuwasikiliza kero zao

    Ndugu zangu Watanzania, Mpaka sasa na muda huu wananchi na wasomi mbalimbali Nchini wanaendelea kufanya Tathmini ,utafiti na kufuatilia ziara za Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba katika Mikoa mbalimbali Nchini. Ambapo Mpaka Sasa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Muuguzi Tabora aliyemfanyia mgonjwa upasuaji nyumbani kwake afukuzwe kazi, afikishwe kwenye mkono wa sheria na kufutiwa leseni

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, Leo Machi 04, 2026 akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Machinga, Jijini Dodoma, ametoa maelekezo kwa mamlaka husika kumfukuza kazi muuguzi wa mkoani Tabora aliyedaiwa kumfanyia mgonjwa upasuaji wa tumbo nyumbani kwake badala ya hospitalini. Mbali...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu aagiza jedwali la utekelezaji wa utatuzi wa kero za wananchi

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu: Serikali kuangalia upya migogoro ya ardhi nchini

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini. Amesema kuwa haiwezekani kuwepo na migogoro ya ardhi ya muda mrefu ambayo haiishi hadi kufikia hatua ya kutishia undugu...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba azindua stendi ya mabasi ya Dkt. Samia wilayani Hanang

    Ataka fedha zitafutwe kujenga barabara ya Katesh - Babati. Akataza watendaji kuchukua bidhaa za wajasiriamali wadogo WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama ya sh...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Hii Ndio Namba Ya Simu ya Kumpigia Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba kwa wenye shida na kero yoyote ile sugu. Ameitoa mwenyewe hadharani

    Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Au waweza Kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita . Au waweza Kumwita Mr First Class Hii ni kutokana na kupiga First Class alipokuwa chuo kikuu cha Dar es salaam...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Mwigulu atoa Hotuba ya Kufungia Mwaka Wilayani Mbozi. Wananchi Wamng'ang'ania ili Asiondoke

    Ndugu Zangu watanzania, Kiukweli na kwa hakika Waziri Mkuu Wetu Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Mr Clean Ameiva kwelikweli. Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Hakukosea hata kidogo kumpendekeza au kupendekeza jina lake kuwa Waziri Mkuu wetu...
  14. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu: Yeyote atakayevunja sheria akamatwe na hatua zichukuliwe kwa usawa

    Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameonya vikali kuhusu utekelezaji wa sheria kwa upendeleo, akisema tabia ya kuogopwa kwa baadhi ya watu na kuwawajibisha wengine pekee imeendelea kudhoofisha haki na uwajibikaji nchini. Amesema haiwezekani baadhi ya wakosaji...
  15. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu, fikiri kabla ya kuzungumza. Kusema kulikuwa na watu wasiozungumza kiswahili wakati wa maandamano ni kuivua nguo Serikali yako mwenyewe

    Sijajua kama Mwigulu anafikiria kabla ya kuzungumza. Jana Novemba 24, 2025 na leo pia wakati anazungumza na wahariri amesema kulikuwa na watu wamezamia maandamano ambapo walikuwa hawajui hata kiswahili. Wawe waliandamana au walibeba silaha kuua watu, huu ni udhaifu mkubwa sana kwa serikali hii...
  16. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu propaganda zako tumezikataa, watanzania wa leo si wajinga kama unavyofikiria

    Cheki hii orodha iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuhusu idadi ya vitu vilivyochomwa moto wakati wa Maandamano ya Oktoba 29, 2025. 1. Ofisi za Serikali 756 2. Vituo vya mwendokasi 26 3. Vituo vya Polisi 159 4. Vituo vya mafuta 672 5. Magari Binafsi 1642 6. Pikipiki binafsi 2268 7...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Hii ndio CV nzito na ya kutetemesha ya Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaleteeni Wasifu mzito na wa Kutetemesha Wa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba au waweza kumwita Mr Clean ikiwa na Maana ya mtu safi ,muadilifu asiye na makandokando wala kashifa ya aina yoyote ile. Au...
  18. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uteuzi wa Dkt Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri Mkuu Wawafurahisha na Kuwakosha Watanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Rais Samia Amewakosha na kuwafurahisha kwelikweli Watanzania. Amewapa Zawadi Ya kufungia Mwaka. Amewapa kile walichohitaji watanzania. Amekata kiu ya watanzania. Amewapa matumaini ,tabasamu na nyuso za furaha watanzania. Uteuzi na Hatua ya Kumteua Uwaziri...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Rais Samia, amelipendekeza jina la Dr. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uteuzi huo unafanyika kufuatia taratibu za kikatiba ambapo jina la mgombea huwasilishwa kwa Bunge la Tanzania ili kupigiwa kura na wabunge. Baada ya pendekezo hilo, wabunge watapiga kura...
  20. w0rM

    JamiiForums Tanzania Je, Dkt. Nyansaho ndio Waziri wa Fedha ajaye? Mrithi wa Mwingulu Nchemba!

    Dkt. Rhimo Nyansaho, mchumi na aliyewahi kufanya kazi katika sekta ya benki, anatajwa kuwa miongoni mwa majina yanayopewa nafasi ya kuchukua uongozi wa Wizara ya Fedha, kufuatia uteuzi wake kuwa Mbunge na Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa jana imesema kuwa Dkt. Nyansaho...
Back
Top Bottom