david maraga

David Kenani Maraga (born 12 January 1951) is a Kenyan lawyer and jurist. He was the 14th Chief Justice and President of the Supreme Court of Kenya from October 2016 until his retirement in January 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ex-CJ David Maraga Arrested During Nairobi National Park Protest Over 76-Acre Land Grab Plan

    Former Chief Justice David Maraga amekamatwa leo wakati wa maandamano dhidi ya mpango wa kugawa ekari 76 za Nairobi National Park kwa ajili ya upanuzi wa Bomas of Kenya na kuhamisha Animal Orphanage. Maraga pamoja na wanaharakati wengine walikuwa wameandamana kando ya Lang’ata Road wakipinga...
  2. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Jaji David Maraga asikitishwa na kauli ya Rais Samia

    Jaji mkuu mstaafu wa Kenya, David Maraga ameandika katika ukurasa wake wa X akieleza masikitiko yake kwa kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Mei 4 wakati akimpokea Rais wa Kenya, William Ruto jijini Dar es Salaam. Endelea.... "Kama Jaji Mkuu, nilithamini udugu uliopo ndani ya Jumuiya...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Mstaafu David Maraga amejiunga katika maandamano ya vijana (Gen Z) nchini kenya

    Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya, David Maraga amejiunga katika maandamano ya vijana (Gen Z) jijini Nairobi akilaani ukatili wa Jeshi la Polisi dhidi ya vijana. Maelfu ya waandamanaji nchini Kenya wameingia mitaani kuadhimisha mwaka mmoja tangu vifo vya waandamanaji waliouawa wakati wa maandamano ya...
Back
Top Bottom