dalali

  1. Mimtamu

    JamiiForums Tanzania Nani anapaswa kumlipa dalali kati ya mwenye nyumba na mpangaji?

    Salam wana jamvi, Hoja yangu ya msingi ni hii, kama vile inavyokuwa madalali wa magari au vitu vingine unakuta mwenye mali anakubaliana na dalali kuhusu malipo yake baada ya kazi. Lakini kwa upande wa nyumba za kupanga ni tofauti, mpangaji ndiye anaumia zaidi. Utakuta nyumba inapangishwa laki...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Anahitajika dalali kutoka Morogoro Mjini

    Wanabodi...! Anahitajika haraka dalali/madalali wa nyumba, viwanja na mashamba kutoka mkoa wa Morogoro, anayeishi Morogoro Mjini. Kwa maelezo zaidi ani PM haraka iwezekenavyo ili tuyajenge. Aweze kuweka namba zake za mawasiliano za simu zinazopatikana muda wote. Nawasilisha.
  3. Aloyce Mkwizu

    JamiiForums Tanzania GUEST HOUSE INAUZWA BUGURUNI SOKONI

    Guest house inauzwa buguruni sokoni. Zipo 2, zote zinauzwa million 120. Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not. Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au 0754677838 Unaweza wasiliana na mwenye guest directly kwa simu namba 0767234545 KIGOMA GUEST HOUSE
Back
Top Bottom