Salam wana jamvi,
Hoja yangu ya msingi ni hii, kama vile inavyokuwa madalali wa magari au vitu vingine unakuta mwenye mali anakubaliana na dalali kuhusu malipo yake baada ya kazi.
Lakini kwa upande wa nyumba za kupanga ni tofauti, mpangaji ndiye anaumia zaidi. Utakuta nyumba inapangishwa laki...
Wanabodi...!
Anahitajika haraka dalali/madalali wa nyumba, viwanja na mashamba kutoka mkoa wa Morogoro, anayeishi Morogoro Mjini.
Kwa maelezo zaidi ani PM haraka iwezekenavyo ili tuyajenge. Aweze kuweka namba zake za mawasiliano za simu zinazopatikana muda wote.
Nawasilisha.
Guest house inauzwa buguruni sokoni.
Zipo 2, zote zinauzwa million 120.
Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au 0754677838
Unaweza wasiliana na mwenye guest directly kwa simu namba 0767234545 KIGOMA GUEST HOUSE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.