daladala

Dala dala are minibus share taxis in Tanzania. Often overcrowded and operated at unsafe speeds, these minibuses developed as a response to an insufficient public transport system in the country. While the name may be a corruption of the English word "dollar", they are also referred to as thumni.Before minibuses became widely used, a truck with benches placed in the bed was the typical Tanzanian privately owned public transport. Called chai maharagwe, these were popular c. 1990.While dala dala may run fixed routes picking up passengers at central locations, they will also stop anywhere along their route to drop someone off or allow a prospective passenger to board.In contrast to most of these minibuses, in Dar es Salaam some dala dala are publicly operated as of 2008.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Je, vituo hivi vya daladala vya Buzastendi–Kawe na Buzastendi–Makumbusho kupitia Keko/Buguruni ni sahihi?

    Habari za kazi Wakuu, ninaandaa orodha ya njia na vituo vya daladala Dar es Salaam, na ningependa kupata msaada kutoka kwa wanaozifahamu hizi route. Nimekusanya taarifa za njia hizi: Buzastendi → Kawe kupitia Keko Buzastendi → Kawe kupitia Buguruni Buzastendi → Makumbusho kupitia Keko...
  2. JamiiForums Tanzania LATRA: Tumeanza kufunga ving'amuzi vya VTS kufuatilia Daladala zinazokatisha ruti na kuzidisha nauli

    "Tunapogundua magari yanasababisha usumbufu, tumeanza kuyafungia ving'amuzi. Kwa kuwa tunaanza kwa awamu, tutaanza na daladala zote zitakazobainika kukiuka masharti ya leseni zao." Hayo yamesemwa na Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini...
  3. JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    Ukimsikiliza huyu kondakta vizuri unagundua kwa siku ana uwezo wa kulala na 50,000 Tsh mfukoni ambapo kwa mwezi ni kama 1,500,000 Tsh hiyo ni sawa na mshahara wa Daktari aliyesoma miaka 5 pale muhimbili. Wengine watadai kuwa sio siku zote Kondakta anafanya kazi, basi tufanye ndani ya mwezi...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Daladala za Morocco–Bunju hazipakii abiria asubuhi, zinaenda kuwachukua wa njiani, tunapata Usumbufu Mkubwa

    Nikiwakilisha Wakazi wenzangu wa Bunju Sokoni, naomba kuwasilisha kero kuhusu huduma ya usafiri wa daladala zinazofanya safari za Morocco hadi Bunju. Tatizo kubwa linajitokeza hasa nyakati za asubuhi ambapo daladala hizo zinapofika Bunju Sokoni, baadhi ya madereva na makonda huchukua risiti...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Goba tuwekewe Kituo cha Daladala, kutegemea hizi zinazopita kunatuathiri na kutupa gharama kubwa

    Nikiwa mmoja kati ya Wakazi wa Goba, naomba kuwasilisha kilio chetu kuhusu changamoto kubwa ya usafiri wa umma inayotukabili sisi wakazi wa Goba na maeneo yanayotuzunguka. Kwa sasa hatuna magari ya umma ya kutosha yanayotoa huduma moja kwa moja kama daladala za uhakika. Mara nyingi tunategemea...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Bajaji na Daladala za Kimara kwenda Matosa zinajipandishia nauli vinavyotaka

    Kero yangu kubwa ni Bajaji na Daladala za Kimara kwenda Matosa wanapandisha na kushusha bei mfano asubuh Bajaj ni Shilingi 1,500 na usiku bei ni hiyohiyo ila mchana ni Shilingi 1,000 hiyo imekuwa inatuumiza wateja kutojua bei elekezi na Sh 1,500 hiyo ni nyingi hata kulinganisha umbali naomba...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ikifika jioni Daladala za Mwenge–Bunju zinaishia Tegeta kisha zinatoza tena nauli ya Tegeta Bunju

    Nina hoja kuhusu baadhi ya daladala zinazofanya safari kati ya Mwenge na Bunju, hasa nyakati za jioni. Kuna baadhi ya magari ambayo yamekuwa na utaratibu wa kuwatangazia abiria kuwa yanaishia Tegeta, hivyo abiria wanaosafiri hadi Tegeta hushuka hapo. Pia soma ~ LATRA: Tumeanza kufunga...
  8. T

    JamiiForums Tanzania KERO Coaster zinazotoa huduma Masasi - Tunduru zimekuwa kero kwa kusimama kila Kituo kama daladala

    Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa katika usafiri wa Costa (mini bus) kati ya Masasi na Tunduru, umbali wa takribani kilomita 195. Badala ya kutoa huduma ya safari ya masafa marefu, Costa nyingi husimama karibu kila eneo kama daladala, hali inayofanya safari inayopaswa kuchukua muda mfupi...
  9. JamiiForums Tanzania LATRA- Wanafunzi na Wakazi Changanyikeni waomba Daladala!

    16 Julai 2026 Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), S.L.P 944 Dar es Salaam. Ndugu CPA, Dkt. Habibu J. Suluo YAH: MAOMBI YA KUFUNGUA NA KUSAJILI NJIA MPYA YA DALADALA (MAKUMBUSHO – MAWASILIANO – UDSM – CHANGANYIKENI – GOBA NJIA NNE) Tafadhali husika na kichwa cha...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Daladala "Kwa Yusuph" Mbezi Mwisho kutumika kama Kituo cha Malori, si salama

    Hapa ni kwa Kituo cha Daladala cha "Kwa Yusuph" kilichopo Mbezi (Morogoro Road) kwa sasa kimegeuka kuwa stendi ya magari makubwa (malori) yanayosimama kwa ajili ya kupakia abiria pamoja na gari ndogo zinazosafirishwa kwenda mikoan na nchi jiran, (IT) bila kusahau mabas kwa nyakari za usiku. Hii...
  11. JamiiForums Tanzania RC Mtaka: Njombe mfanyabiashara ana mauzo ya 500ml kwa mwezi lakini anapanda daladala

    Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amesema ni muhimu Wafanyabiashara kuwa na maisha yanayoendana na kipatao chao . Mtaka amesema hayo leo Julai 13, 2026 wakati akizungumza na Wakulima wa Parachichi watakaoenda nchini India kujifunza Soko la Parachichi India ambapo amesema wapo Wafanyabiashara...
  12. JamiiForums Tanzania Hi nchi imeharibika kila angle, traffic wanaposimamisha kila daladala

    Wakuu hii ishu inauma sana. Hawa jamaa wanaposimamisha kila daladala ni kwa ajili ya kula 2000 Atakapokuja Rais mwingine atapata shida sana kuirejesha nchi mahala pake
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Daladala za Igawilo – Soko Kuu (Mbeya) zinaishia Kabwe badala ya kufika Soko Kuu, hiyo ni kero kubwa

    Kila siku asubuhi natumia usafiri wa daladala kutoka Igawilo kwenda katikati ya mji, jijini Mbeya. Kero kubwa tunayokumbana nayo ni baadhi ya daladala kutokufuata njia zilizoandikwa kwenye vibao vyao. Kwa mfano, gari lenye route ya Igawilo – Soko Kuu mara nyingi huishia Kabwe badala ya kufika...
  14. JamiiForums Tanzania KERO Responded Daladala za Buza zinakatisha ruti kila siku, zinatushusha njiani; LATRA chukueni hatua

    Habari wakuu natumai mko poa kabisa ndugu zangu wahishimiwa wanabodi na kadhalika. Mimi ni yule yule wa siku zote mkazi sugu wa buza kanisani always nimekuwa nikileta kero za usafiri huku kwetu japo hazitatuliwagi ila sitoacha kutoa kero kwa niaba ya wengi natumai one day zitawafikia wahusika...
  15. V

    JamiiForums Tanzania Nauli za daladala Arusha hazipo popote Tanzania

    Huku Arusha nauli za dalada ziko juu kuliko mji wowote Tanzania; kutoka kituo hadi kingine abiria wanalipishwa shilingi elfu moja [tsh.1,000/=], mkuu wa mkoa yupo, LATRA wapo, sasa mamlaka hizo [serikali] zinafanya kazi gani wakati kisheria nauli zinathibitiwa? Yaani Arusha ni mji ulio...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Nauli za Daladala Arusha: Tsh. 1,000 badala ya Tsh. 700?

    Kuna malalamiko sana kuhusu nauli za dadadala mjini Arusha. Daladala zinatoza nauli Tshs 1000 badala ya nauli elekezi ya Tshs 700. Mamlaka zipo kimya kwenye hili. Simu zikipigwa hawapokei. Je hii ni sahihi? Tunaziomba mamlaka zilitazame hili jambo limekuwa mwiba mchungu kwa wanachi wa...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Dar: Daladala za Mjini - Temeke zina tabia ya kupakia na kushusha abiria nje ya vituo na kuleta msongamano

    Kumekuwa na tabia ya madereva wa daladala kupaki magari na kupakia abiria nje ya vituo hususani kituo kidogo cha mabasi Keko Bora (maarufu tameco), Maduka Mawili na Serengeti kwa daladala zinazotoka mjini kuelekea Temeke kupitia njia ya Chang'ombe. ‎ Kero hii imekuwa ikisababisha foleni na...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Serikali imesikiliza maoni ya wananchi inapoikubalia Kampuni ya MOFAT ombi LATRA kuziondoa Daladala Mbagala?

    Mwezi January mwaka huu 2026, kampuni ya mabasi ya mwendokasi MOFAT ilituma ombi kwa LATRA kwamba walikuwa wakipata hasara ruti ya Mbagala kutokana na uwepo wa bajaji, bodaboda na daladala. Sisi wa zamani tunakumbuka wakati wa zoezi la ubinafsishaji sekta ya benki, benki binafsi za nje walitaka...
  19. JamiiForums Tanzania Dada zetu mnaopanda daladala mnatuboa

    Leo nilikuwa naenda town, bahati mbaya gari nililosimamisha lilikuwa limejaa. Sasa bhana kuna Mdada mwenye Makebo Makubwa akawa amesimama mbele yangu. Sasa Gari likaondoka ee bhana ya Mungu mengi, kutokana na msongamano, akawa ananigusa mara kwa mara kila gari lilipopiga breki au kuondoka...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Moshono jijini Arusha tunapata shida kutokana na madereva wa daladala kuzuia bajaj zisipakie watu

    Wanannchi tunaoishi Moshono, Arusha, tunakabiliwa na changamoto kubwa ya usafiri, hususan nyakati za asubuhi tunapoelekea makazini. Kwa muda mrefu, bajaji zilikuwa msaada mkubwa katika kuturahisishia usafiri, lakini kwa sasa zimezuiwa kuingia na kufika Moshono kutokana na vikwazo vinavyowekwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…