Daktari bingwa aliyefanikisha upandikizaji wa kwanza wa moyo uliodumu nchini Uingereza, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93.
Sir Terence English, alimfanyia upasuaji huo Keith Castle (52), aliyekuwa na uraibu wa uvutaji sigara, Agosti 1979.
Castle, shabiki wa timu ya soka ya Fulham...