civil engineering

Civil engineering is a professional engineering discipline that deals with the design, construction, and maintenance of the physical and naturally built environment, including public works such as roads, bridges, canals, dams, airports, sewage systems, pipelines, structural components of buildings, and railways.
Civil engineering is traditionally broken into a number of sub-disciplines. It is considered the second-oldest engineering discipline after military engineering, and it is defined to distinguish non-military engineering from military engineering. Civil engineering can take place in the public sector from municipal public works departments through to federal government agencies, and in the private sector from locally based firms to Fortune Global 500 companies.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Naomba msaada ipi ni kozi bora zaidi Kati ya civil engineering na geomatics Kwa level ya degree

    Habari za muda huu wadau wa JamiiForums, Naomba mwenye uelewa zaidi kwa kozi ya civil engineering na geomatics anisaidie kufanya comparison Kwa nyanja mbalimbali. Mfano marketability, ushindani , ugumu wa masomo na kazi ,Fursa za ajira ( kujiajiri na kuajiriwa pia) na Mishahara ya kazi...
  2. Future Boss

    Materials za maandalizi ya Interview za PSRS UTUMISHI (Civil Engineers)

    Habari ndugu wana JF. Mimi ni muhitimu wa B. Eng (Civil), mwaka 2024. Nakiri kuwa sijawahi kufanya interview yeyote utumishi hata sehemu nyingine. Nawaombeni wale mabraza na dada zangu na wakubwa zangu wengine waliopo kwenye fani hii na wana uzoefu na interviews katika nafasi zinazotangazwa...
  3. O

    Natafuta kazi ya kufundisha shule za technical na vyuo vya ufundi

    Habari: Mimi ni mhitimu wa degree ya ualimu wa civil engineering,, Natafuta kazi ya kufundisha shule za technical na vyuo vya ufundi, kwa mawasiliano 0747541717.
  4. fredick

    Mwendelezo wa level 4 civil engineering

    wana jamii forums, naomba msaada wenu, alie hitimu veta level 3, anaendelea na diploma naomba mniambie chuo gani bora kwa ajiri ya civil engineering_fani ya masonry. ahsante
  5. Azer Zepha

    Ipi kozi bora kati ya Computer Engineering na Civil Engineering?

    Nimepata nafasi ya kuchaguliwa na vyuo viwili hapa Tanzania chuo cha kwanza nimepangiwa kusomea civil engineering na chuo cha pili nimepangiwa kozi ya computer engineeringi. Wana JF nipeni ushauri kati ya kozi hizo mbili ipi ni marketable?
  6. X

    ChinaTech: Maendeleo ya China katika miundombinu ni ya hali ya juu ni zaidi ya mara 100 ya Marekani

    "Maendeleo ya China katika miundombinu ni ya hali ya juu ni zaidi ya mara 100 ya Marekani." –Elon Musk Elon Musk aliposema hivyo hakutia chumvi ni uhalisi. Kihistoria tangu zamani Wachina wako vizuri kwenye civil engineering. Mfano mmoja ni The Great Wall of China mradi uliojengwa miaka 2300...
  7. fredick

    Mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye Civil Engineering Serikalini

    Naomba kujua mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye civil engineering serikalini.
Back
Top Bottom