Nawaona mnavyochukiana mitaani na hapa JF kisa dini, nacheka sana. Hivi mnatambua ninyi ni MAFALA WASIOJITAMBUA? 😂
Yaani unamchukia ndugu yako, jirani yako, au mbongo mwenzako kisa tu mmoja anamshabikia mzungu fulani (Kristo) na mwingine mwarabu fulani (Mudi)? Nasema tena: WEWE NI FALA MARA...
Nimekuwa nikiingia Facebook na Instagram nakutana na machapisho sponsored yenye chuki za kidini ambayo ni taarifa za kueneza chuki za kidini au upotoshaji.
Mtu huyu wa Cheche Times analipia kabisa matangazo katika majukwaa ya Instagram na Facebook. Posts zake ni kashfa zaidi za...
Hakuna aliye juu ya sheria, lakini pia kamwe asivumilowe mtu yeyote yule ambaye anajaribu au atajaribu kutugawa kwa misingi ya kidini au kueneza chuki za kidini.
Huyu ndugu Gwajima ni wazi matamko yake yanatuhamasisha eti sisi wakristu tumchukie Rais dkt Samia.
Tunasema hali hatulikubali na...
Tusitake kupamba lugha. Sasa iko wazi kwamba Ukristu unachukiwa na viongozi wakuu wa nchi hii. Tumeanza na kupiga vita vyama vya kisiasa vinavyoongozwa na wakristu na kuinua kwa makusudi vinavyoongozwa na waislam.
Sasa Utakuwa wa CCM, na upinzani utakuwa wa ACT na CHAUMMA.
Makanisa yanafutwa...
Sheikh maarufu Tanzania ndugu Mwipopo ametoa onyo kwa kanisa katoliki kwa mwenendo wake wa kupandikiza chuki za kidini, hasa inapotokea Rais ni muislam.
Sheikh huyo ametoa mfano wa mauaji ya kimbari Rwanda ambapo kanisa hilo lilikuwa linawakusanya watu makanisani kwa kisingizio cha kuwasaidia...
Nikiri sina miaka mingi sana humu jukwaani ila nilichogundua ni kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidin kwa kukejeli imani zingine kwa namna moja au nyingine binafsi ni muumin mzuri wa dini yangu japo nina cycle ya watu wengi ambao si wa imani yangu naishi nao vzr na tuna bond nzuri sana...
Siyo kweli kwamba uwekezaji hauna faida au hasara Kwa mstakabali wa Taifa. Lakini hoja ya bandari imefunua mioyo ya wengi na kuonesha hatari iliyoko katika nchi yetu.
Tanzania hatutakuja kupigana vita ya wenyewe eti Kwa sababu ya kisiasa. Ccm Ina nguvu sana kuweza kutawala hata miaka hamsini...
Happy ban day!
Watu wa bara mnapaswa kubadilika na kuwa na ustaarabu! Nyie watu mmekosa ustaarabu na chuki zimewajaa acheni hizo gubu zenu na nyinyi huku pwani tuwatimue?
Nimechokwa na chuki zenu za udini kila mara mnazowafanyia ndugu zetu wa pwani hamuwaruhusu kusoma shuleni zenu na nasikia...
Wahenga wanasema,"hakuna mtu aliye mkamilifu"
Biblia inasema,'usihangaike na kibanzi kwenye jicho la mwenzio ilhali wewe una boriti kwenye jicho lako na huenda hujijui'
Qur'an inasema,"hakuna kulazimishana katika dini na mtu ambaye mnatofautiana Imani"
Imani zipo nyingi,Imani zipo nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.