china na tanzania

This is a list of diplomatic missions of Tanzania, excluding honorary consulates.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Ushirikiano kati ya China na Tanzania Waendelea kwa Kipaji cha Mafunzo kwa Wafanyakazi wa Reli

    Kwa miaka mitatu na nusu, Amina Ally Sauko amesaidia kuratibu operesheni za treni za Shirika la Reli la Tanzania (TRC) kutoka kwenye Kituo chake cha Usimamizi wa Operesheni kilichoko jijini Dar es Salaam, ambako uhakika na kufanya kazi pamoja kama timu ni muhimu. Amina, ofisa usafiri wa TRC...
  2. Mindyou

    Si mmeona hata nyie China na Russia wameshindwa kumsaidia Maduro? Sasa CCM mmejipangaje? Wachina ni MATAPELI

    Wakuu Kila siku nasema humu. Wachina ni matapeli. Nakumbuka wakati wa uzinduzi wa Ilani ya CCM mwaka jana CCM walijaza Warusi, Wachina na Wakorea Kaskazini kwenye mkutano wao. CCM ilisema kwamba hao ndio marafiki zao. Sikumbuki kuona Wamarekani kwenye mkutano huo. Hata CCM "WALIPOSHINDA"...
  3. L

    China na Tanzania zaendelea kujiimarisha kwenye masuala ya uvumbuzi wa kilimo

    Tanzania na China ni nchi ambazo zimekuwa zikiimarisha uhusiano wao ulioanza tangu enzi na dahari. Uhusiano huu umejengwa katika misingi imara na isiyotikisika, ambapo mbali tu na kujikita kwenye mambo ya diplomasia, pia umeingia hadi katika miradi mbalimbali ya kilimo ambayo inawanufaisha zaidi...
  4. L

    Maonesho ya ajira kati ya China na Tanzania yawawezesha vijana na kuimarisha uhusiano

    Jumamosi asubuhi iliyokuwa na jua kali ilileta wimbi la matumaini kwa mamia ya wahitimu wa vyuo vikuu wa Tanzania, wanafunzi wa ufundi, na wataalamu vijana waliokusanyika katika maktaba iliyojengwa na China ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kutafuta fursa za ajira kwenye makampuni ya pamoja ya...
  5. President of China

    Kampuni ya Meli ya China na Tanzania (SINOTASHIP): Nguzo ya Usafirishaji wa Mizigo Baharini

    KUNA WATU WANAUMIA WAKONA MAENDELEO YA TANZANIA Serikali ya Tanzaniaimeendelea kushirikiana na wadau mbalimbaliikiwemo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Chinakatika kuboresha huduma za uchukuzi katikaBahari. Mkakati huo umeendelea kutekelezwa naKampuni ya Meli ya China na Tanzania(SINOTASHIP)...
  6. L

    "Tafadhali msiwaache wakafa!" Ombi la mama lawafanya madaktari wa China wakimbilie kuwaokoa mapacha Zanzibar

    “Tafadhali msiwaache wakafa,” alinong’ona mama mmoja wa Kitanzania kwa majonzi huku akishindwa kuzuia machozi yanayomtiririka mashavuni. Wakati Wazanzibari wengi wakiwa bado wamelala, daktari mmoja wa China alitimua mbio akikimbilia kwa watoto waliozaliwa ambao wapo kwenye pumzi za mwisho...
  7. Yoyo Zhou

    “Fimbo ya ushuru” haiwezi kuvunja mnyororo wa biashara ya nje ya China

    Maonesho ya 137 ya Canton yamefunguliwa hivi karibuni mjini Guangzhou China. Takwimu zinaonesha kuwa katika siku ya ufunguzi, jumla ya wanunuzi 64,530 wa ng'ambo wameshiriki katika maonesho hayo, ambalo ni ongezeko la asilimia 8.9 ikilinganishwa na siku kama hiyo mwaka jana, na kuweka rekodi...
  8. F

    Makubaliano ya China na Tanzania ni kuimarisha reli ya TAZARA iliyopo (MGR) na sio kujenga nyingine kwa viwango vya SGR

    Hizi ndizo taarifa kutoka vyanzo nilivyovipata hadi sasa China signs deal to upgrade decades-old railway between Zambia and Tanzania na China to 'revitalise' ageing railway linking Zambia, Tanzania. The upgrade of the TAZARA railway by China will focus on improving the existing meter-gauge...
  9. Roving Journalist

    Rais Samia akutana na Rais wa China, Xi Jinping na ujumbe wake

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema leo, Septemba 4, 2024 katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing. Rais Samia amefanikiwa kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia ya...
Back
Top Bottom