cheti cha ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cheti cha ndoa kina msaada kugawana mali tukiachana??

    Tutagawana mali maana nina cheti cha ndoa. Pambana umbane mfunge ndoa ili hata akikuacha mgawane mali. Umewahi kuzisikia hizi kauli bila shaka. Hizi ni kauli na mawazo ambayo wanawake na wazazi wengi wako nayo kichwani na vinywani mwao. Leo wacha niwaambie ukweli mchungu. Cheti cha ndoa pekee...
  2. D

    Je kuna uwezekano wa kubadilisha majina kwenye cheti cha ndoa?

    Habari ya wikiendi wadau.. Naomba wale wazoefu na wataalamu wa mambo ya sheria na ndoa wanisaidie katika hili. Hivi kuna uwezekano wa kubadilisha majina katika cheti cha ndoa? Na kama hilo linawezekana je ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa,? Asanteni
  3. Naomba jina la hotel iliyopo Tanzania ambayo huwezi kuingia bila kuthibitisha cheti cha ndoa

    Wakuu naomba mnisaidie jina la hotel yoyote ambayo huwezi kuingia bila kuthibitisha cheti cha ndoa. Best Regards
  4. K

    Hivi inawezekana kupata cheti cha ndoa pasipokufunga ndoa?

    Hello wakuu Najua bongo mambo yote yanawezekana. Kuna dili nimeipata mahali,ila sharti natakiwa kuwa na cheti cha ndoa.so nimeumiza kichwa hapa nikaona nije humu niwaulize wazoefu kama kuna anaejua kama naweza kupata cheti cha ndoa nikiwa sijafunga ndoa?zaidi ningepata cheti kilichotolewa bomani...
  5. Msaada wakuu kuhusu utaratibu wa kupata cheti cha ndoa Rita

    Naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa cheti cha ndoa cha Rita je! Kinaweza kupatikana hta kwa hawa viongozi wetu wa dini au ni Rita tu peke yake?
  6. Msaada: Gharama za kusajili cheti cha ndoa RITA ili kupata nakala ya maandishi katika daftari la ndoa

    Habari, Kwa mwenye kujua gharama za kusajili cheti cha ndoa RITA tafadhali pamoja na process zake. Natanguliza shukran za awali.
  7. Ulimkatiaje bima mkeo na cheti cha ndoa hauna?

    Wakuu naomba kufahamu kuhusu suala hili tafadhari.
  8. Cheti cha Ndoa kingetolewa baada ya miaka mitatu ungechukua?

    Kingekuwa kinatolewa baada ya miaka mitatu ya ndoa, ungekifuatilia?
  9. Je, Cheti cha ndoa kimetajwa popote kwenye biblia au Quran?

    Naomba muongozo
  10. Hii tafsiri ya cheti cha ndoa, ikusaidie kujitafakari sana kabla hujakisaini

    Ndoa kiroho ni agano. Unaposaini cheti cha ndoa au unapoingia agano hilo kwa makubaliano mengine yoyote unatakiwa ujue unachokiingia. Siku hiyo unasaini hati ya Kufanikiwa kwako au kufeli kwako maishani Furaha yako au huzuni yako hadi unaingia kabrini. Maisha ya migogoro au amani Nini...
  11. Sheria ya Ndoa inasemaje pale Cheti cha Ndoa kinapokuwa hakijafafanua kama ndoa ni ya mke mmoja au zaidi?

    WanaJF hasa wajuzi wa sheria ya ndoa nina jambo naomba kupata ufafanuzi. Majuzi niliona cheti cha ndoa cha mme na mke waliofunga ndoa ya kikristo miaka kadhaa iliyopita. Kwenye cheti niliona kuna sehemu kimeandikwa ndoa imefungwa kwa madhehebu ya kikristo lakini ile sehemu ambapo cheti...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…