charles kitima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Palm Beach

    Baada ya Fr. Charles Kitima - Katibu mkuu TEC kunusurika kuuwawa,; Askofu Mwanamapinduzi, Mwamakula, Mwamalanga na Bagonza chukueni tahadhari

    Waswahili wanasema hivi; "...ukiona mwenzio kanyolewa, basi wewe jiandae kwa kutia maji kichwa chako, maana inayofuata ni zamu yako..." Dali zote zinaonesha kuwa vita iliyopo sasa Tanganyika ni; Vita kati ya HAKI na UOVU... Vita kati ya MUNGU na SHETANI - IBILISI... Watumishi wa Mungu...
  2. Q

    Ujumbe wa Fr. Kitima baada ya kushambuliwa: Hatutakiwi kuogopa kulipa gharama katika kusimamia haki

    Boniface Mwabukusi. Rais na TLS ameandika kupitia ukurasa wake wa X: "Nimemtembele Father Dr. Charles Kitima. Hakika lilikuwa shambulio baya lenye lengo la kudhulumu maisha. Mungu ni mwema sana anaendelea vizuri. Huu ni Ujumbe wake kwetu.... Lazima Tuwe Imara kusimamia masuala ya Msingi...
  3. Erythrocyte

    CHADEMA yalaani Shambulio Dhidi ya Dkt Kitima

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimelaani Shambulio la kupangwa dhidi ya Katibu wa TEC Father Charles Kitima lililokusudia kutoa Uhai wake. Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hili hapa Soma pia News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake...
Back
Top Bottom