catherine ruge

Catherine Ruge (born June 25, 1982) is a Tanzanian politician who served as the Chadema (Special Seats) MP for Serengeti, between 2017 and 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. Mto wa mbu

    Pigo walilokutana nalo Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga liwe fundisho kwa wasaliti

    Baada ya chama imara kusisia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa waridhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma. Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico Nyerere ,John Mrema, Kigaila na Salum Mwalimu. Basi timu iyo iliwashawishi Wana mama wa Bawacha Kwa...
  2. Mto wa mbu

    Ni kilio na kusaga meno kwa Catherine Ruge, Moza Ally, Susana Kiwanga na Zitto Kabwe

    Mwaka 2025 ni mwaka wa historia kwenye nchi yetu. Picha lilianza January 24, pale ambapo Mbowe alikumbana na kilio Cha kusaga meno Kwa kupoteza nafasi ya Mwenyekiti Chadema. Basi G55, wakahama chama na kwenda CHAUMMA, kila siku walikuwa wanaitisha press conference kukinanga Chadema. CHAUMMA...
  3. R

    GE2025 Catherine Ruge: Nimekuwa nikifanyiwa vurugu kwenye kampeni zangu, Polisi hawatoi ushirikiano ipasavyo

    Mgombea Ubunge Jimbo la Serengeti mkoani Mara kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Catherine Ruge amedai kuvamiwa na kuletewa vurugu kwenye baadhi ya mikutano yake ya kampeni huku pia akidai Jeshi la Polisi halilindi mikutano yake ipasavyo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Catherine Ruge atimiza sharti la kikanuni kwa kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

    Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Catherine Ruge, ambaye alihamia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika Jimbo la Serengeti mkoani Mara, Jumatatu Agosti 25, 2025 ametimiza sharti la kikanuni kwa kuchukua fomu ya...
  5. Just Pray

    GE2025 Catherine Ruge: Nimesikia sauti ya Mungu, nitagombea Serengeti

    Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Catherine Ruge (Msubhati) amesema ameamua kusimama na kugombea ubunge wa Jimbo la Serengeti Mkoani Mara, kwa lengo la kupigania haki za wananchi na kurejesha matumaini kwa jamii inayokabiliwa na changamoto mbalimbali...
  6. Mto wa mbu

    GE2025 Nasubiri kuona Catherine Ruge, Dovotha Minja na Susan Kiwanga wakishinda ubunge kupitia CHAUMMA

    Waliokuwa wanachama wa Chadema, miezi miwili imepita kila siku walikuwa wanashindana kufanya press conference kuinanga na kuihama Chadema. Walijiona wao ni wakubwa wanaweza nenda chama chochote na kushinda ubunge. Sasa toka CHAUMMA watangaze kutoa fomu watu hao wanachukua fomu Kwa kujificha ...
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Catherine Ruge: Nimeenguliwa kwa SMS bila kujulishwa makosa yangu ambapo ni kinyume na Katiba ya CHADEMA

    Catherine Ruge pia ameeleza kuwa ameenguliwa bila kupewa taarifa rasmi, akikiri kupata taarifa za kuenguliwa kwake kupitia ujumbe mfupi wa simu (sms)na Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika, bila ya kuelezwa makosa yake na sababu za kuenguliwa kwake ambapo pia ni kinyume na Katiba ya nchi ibara ya...
  8. econonist

    BAWACHA waliona mbali kumpiga Chini Catherine Ruge

    Huyu dada Catherine Ruge alivyopigwa Chini kwenye Ukatibu Mkuu wa BAWACHA nilihuzunika Sana. Ila kwa Sasa naona waliompiga Chini waliona mbali Sana kumbe alikuwa kirusi kwenye chama. Kateuliwa tu kwenye Secretariat kwa heshima kaanza ujinga. Akae pembeni asaidie mambo ya uhasibu.
  9. figganigga

    PreGE2025 Tundu Lissu atengua uteuzi wa CPA Catherine Ruge

    Tundu Lissu, Mwenyekiti wa chama Taifa CHADEMA leo 5.4.2025 ametengua uteuzi wa mjumbe wa sekretarieti na mtalamu wa dawati la jinsia Catherine Ruge. Catherine Ruge ni mmoja ya Kikundi cha ndani ya CHADEMA cha G55 chenye Malengo ya kukwamisha Kampeni ya no reforms no Election. Pia wanadaiwa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Catherine Ruge: Mwanamke anaweza kushinda kura za maoni, lakini anaambiwa ampishe mwanamume ili yeye apewe viti maalumu

    Katibu Mkuu wa zamani wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Catherine Ruge amesema vyama vya siasa ni nyenzo muhimu ya kuhakikisha wanawake wanajengewa uwezo wa kuwania majimbo, lakini bado haviamini kama kundi hilo linaweza kusimama. Ruge aliyewahi kuwa mgombea ubunge wa Serengeti...
  11. Carlos The Jackal

    Catherine Ruge, uliikataa COVID-19, uliandamana na Lissu kutetea Ngorongoro, Nakusihi sana Chutuma, bado kiumri una safari ya Siasa

    Dada Catherine, wee ni Moja ya Wanawake makini, wachapa Kazi ,wawazi, na Wafia chama ,majasiri na makini. Inawezekana ni kupitiwa tu na ushawishi , Binadamu tunakosea. Ninaamini Kwa Kariba yako, wewe Sio kundi lile, wewe ni wa LISSU , Infact wewe na LISSU Kuna vitu mnaviamin. Chonde chonde...
  12. Cannabis

    Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume "patriarchy"

    Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT...
  13. JanguKamaJangu

    Pamela Maasay ashinda Ukatibu Mkuu BAWACHA, amwaga Catherine Ruge

    Pamela Maasay Pamela Maasay amechaguliwa kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) akimbwaga Catherine Ruge aliyeshindwa kutetea nafasi hiyo. Pamela ameibuka kidedea kwa kura 37 sawa na asilimia 54 katika kinyanganyiro hicho huku Catherine akipata kura 34 sawa na asilimia 40 na...
  14. G Sam

    Catherine Ruge apigwa chini BAWACHA

    Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba. Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo Team TALL Wajumbe 17 Team FAM wajumbe 16 Jumla 33 Huku Bavicha Team FAM Ikiibuka hohe hahe kwa...
  15. Rula ya Mafisadi

    Catherine Ruge: Tumejenga BAWACHA ya kisasa Tanzania nzima hakuna Wajumbe naomba mnichague tena ili nishirikiane na Tundu Lissu kuipaisha CHADEMA

    https://youtu.be/u5W0p435GHQ?si=mYGJkq3wwCv0b3lZ ==== Katibu Mkuu wa BAWACHA Taifa anayemaliza muda wake Mhe CPA Catherine Ruge ametangaza kutetea kiti chake kwa kipindi cha pili cha miaka mitano baada ya kujenga BAWACHA ya kisasa nadhani hili sote tutakubaliana nae naomba kwa...
  16. Nyendo

    SI KWELI Catherine Ruge aula, apewa na Freeman Mbowe nafasi ya Lissu CHADEMA

    Baada ya Lissu kunyimwa funguo za Mikocheni ameamua kususa nafasi yake imezibwa rasmi na Catherine Ruge, Wasalimie sana ACT Wazalendo.
  17. B

    PreGE2025 Catherine Ruge: Rais Samia anahofia mageuzi yataiondoa CCM Madarakani

    8 July 2024 ‘Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA) - 'Samia Anahofia Mageuzi Yataiondoa CCM Madarakani’ Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), amesema kwamba sababu kubwa ya kufeli kwa mchakato wa kuleta mageuzi ya kisiasa nchini, kama vile...
  18. B

    Kusimama na Catherine Ruge ni Wajibu

    Familia za wahanga wa mauaji ya Tarime kwa hakika zimekosewa sana. Hivi ndivyo ilivyo kwa vifo vyote vya makusudi vinavyotekelezwa na vyombo vya dola kinyume cha sheria. Wito huu ni kwa wapenda haki, vyama vya siasa, asasi za kiraia na wapenda amani wote. Catherine Ruge anapambana. Kwa...
  19. BARD AI

    Polisi wathibitisha kumkata Catherine Ruge wa CHADEMA

    Jeshi la Polisi, Mkoa wa Mara limemkamata Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge. Ruge amekamatwa leo Jumamosi, Septemba 24, 2022, muda mfupi baada ya kufika Mjini Musoma, Mkoa wa Mara kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa habari. Lengo la...
  20. Idugunde

    Serengeti: Catherine Ruge wa BAWACHA akamatwa na polisi

    Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge. Jeshi la Polisi, Mkoa wa Mara limemkamata Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge. Jeshi la Polisi, Mkoa wa Mara limemkamata Katibu wa Baraza la...
Back
Top Bottom