caf confederation

The CAF Confederation Cup, known as the TotalEnergies CAF Confederation Cup for sponsorship purposes, is an annual association football club competition established in 2004 from a merger of the CAF Cup and the African Cup Winners' Cup and organized by CAF.
Clubs qualify for the competition based on their performance in their national leagues and cup competitions. It is the second-tier competition of African club football, ranking below the CAF Champions League. The winner of the tournament faces the winner of the aforementioned competition in the following season's CAF Super Cup.
Moroccan clubs have the highest number of victories (seven titles), followed by Tunisia with five. Morocco has the largest number of winning teams, with five clubs having won the title. The competition has been won by 14 clubs, six of which have won it more than once. Club Sfaxien is the most successful club in the competition's history, having won the tournament three times. Zamalek are the current defending champions, having beaten RS Berkane in the 2024 final.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    🔴#LIVE MATCH: AS otoho VS Singida black Stars || Mchezo Wa Caf Confederation Cup 1 February 2026

    01 February 2026 Stade Alphonse Massamba-Débat in Brazzaville Kutoka Uwanja wa Alphonse Massamba-Débat jijini Brazzaville, katika pambano muhimu la Kundi C la Kombe la Shirikisho la CAF. Katika pambano la mwisho kati ya timu hizo mbili, lililochezwa Januari 25, 2026 nchini Tanzania, Singida...
  2. stakehigh

    Nyayo Stadium shortcomings cloud Nairobi United’s CAF Confederation Cup match against Azam

    https://www.citizen.digital/article/nyayo-stadium-shortcomings-cloud-nairobi-uniteds-caf-confederation-cup-match-n376141#google_vignette
  3. Kichuguu

    Msimamo wa CAF Champions League na CAF Confederation CUP

    Tupashane msimamo wa kila wiki kwenye mashindano haya japo inaonekana kuwa waarabu wanayatawala sana CAF Champions League CAF Confederation Cup
  4. Zogoo da khama

    Safari ya Simba kwenda Morocco

    Awali ya yote niipongeze Serikali kwa kutoa usafiri wa bure kwenda Morocco jambo hili litaongeza idadi ya wapenzi, wanachama na mashabiki kwenda kuishangilia timu yetu. Jambo la kuhudhunisha ni uongozi kuambua kuwalipisha watu nauli ya $1,200 hii nini maana yake? Nani yupo nyuma ya hii...
  5. CARIFONIA

    Naona kuna timu mashabiki wake wataisusia fainali ya pili la kombe la shirikisho

    Najua mahaba ni makubwa mno kiasi kwamba hawapendi kabisa kuambiwa ukweli, lakini wakati utaongea vizuri. Mechi ya fainali inaishia Morocco na kuna mtu anaenda kula kono la nyani Hii kitu ndio itawatia uvivu kwenda uwanjani mechi ya pili kwani uwezekano wa kupindua meza autakuwepo kabisa...
  6. LICHADI

    Kuelekea fainali ya Simba Taifa tunaomba muache habari ya Tiketi za bure mnatuharibia mpira

    Sisi kama mashabiki og tunaoenda uwanjani mechi zote za Caf kma mechi za mtoano hakukuwa na Tajiri aliyetununulia tiketi za bure basi fainali napo tunaomba kila mtu alipie ili wapenzi.halisi wa simba tupate nafasi ya kuona fainali Hii mechi mkiitumia kisiasa sijui mtu.mmoja anunue tiketi 30,000...
  7. L

    Mwaka huu 2025 Simba itachukua kombe la shirikisho,nyota inaiwakia,namba zinairuhusu ,ni muda wake

    Mimi sio mchambuzi wa soka,sio mtabiri wala sio mganga,Bali ni mtu ninaependa kuangalia mambo kwa kina. Sababu zinazonifanya nione kabisa kua, safari hii na mwaka huu wa 2025,ni mwaka wa Simba kutwaa kombe la shirikisho ni hizi: Ni kweli Simba bado inajenga timu,hili wala hakina ubishi. Lakini...
  8. S

    Tumeshinda nimefurahi sana Leo lakini timu yetu bado ina madhaifu mengi sana, tujirekebishe tunapocheza na RS Berkane ugenini

    Kwanza napongeza sana uongozi wa Simba, bodi na mashabiki pamoja na serikali kwa kufanikisha Simba kuingia fainali na hivyo kuendelea kuweka rekodi. Mchezo wa Leo vs Stellebosch ulikuwa mzuri kwa sababu tumetoka share na hivyo kikanuni tumeweza kufuzu kwa BAO letu la home. Hata hivyo, kwa mtu...
  9. SankaraBoukaka

    Simba yazika rasmi umbea wa ngonjera za medali za mchongo za Gongowazi!

    Kwa heshima na taadhima, tunapenda kuwapongeza Yanga kwa kuweka historia ya kuwa watalii rasmi wa fainali za CAF Confederation Cup! 🎖️😂 Kwa muda mrefu mmekuwa mkihubiri injili ya "medali, medali", sasa tumewasindikiza rasmi kwenye kaburi la hadithi hiyo! ⚰️🏅 Simba tunaenda fainali, tutavaa...
Back
Top Bottom