bodi ya ithibati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Khalifa: JAB wanatakiwa kukemewa na watu wote kwa ukandamizaji wanaofanya kwa waandishi

    Wakuu, JAB mnaingia mpaka chumbani kwa watu mnataka nini? Hamuoni aibu kwa haya mnayofanya? Afadhali kuna mwandishi yuko na ujasiri wa kuongea! Ni zaidi ya fezea kwa waandishi kukaa kimya kuwa na chombo kama JAB huku mnaona kipo kwaajili ya kuwakandamiza. ==== "Mambo vipi? So, ukiwa...
  2. Cute Wife

    Ni Msemaji Mkuu au Shushushu? Je, Serikali inachunguza Waandishi kinyume cha sheria (Surveillance) na kuwafanyia blackmailing?

    Wakuu, Juzi bwana Zungu alitoka povu baada ya ATCL kuchelewesha safari ya Mwanza - Dar bila ya kutoa taarifa, povu lote akalitolea kwenye mitandao ya kijamii. Kumbuka Zungu hakuwa peke yake katika uwanja huo wa ndege, abiria wengine kibao walimshuhudia na alijitahidi kupaza sauti (pamoja na...
  3. Just Pray

    Zungu apigwa onyo kali kwa kukiuka maadili kuhusu tukio la uchelewaji wa ndege ya ATCL Mwanza - Dar

    JAB YAMPA ΟΝΥΟ ΚALI MWANDISHI KWA KUKIUKA MAADILI Dar es Salaam, 23 Januari, 2026 Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), kwa mujibu wa mamlaka iliyopewa chini ya Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229 na kanuni zake, imempa ONYO KALI Mwandishi wa Habari, Bw. Kelvin Justine Raphael...
  4. McLaren

    Gerson Msigwa: Serikali hatujawahi kwenda kwenye chombo chochote cha habari kufukuza mtu

    Wakuu, Mnakumbuka kuwa kuna waandishi na watangazaji siku hizi hatuwasikii redioni kabisa. Tulivyouliza tukaambiwa kuwa ni kwa sababu hawana taaluma au hawajasomea uandishi wa habari? Alitajwa masoud kipanya, fetty na kina Zembwela Gerson Msigwa akiwa anazungumza leo kwenye kipindi cha...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Waandishi ambao hawajasajiliwa JAB marufuku kuripoti Uchaguzi Mkuu

    Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, ametoa onyo kali na kupiga marufuku waandishi wa habari ambao hawana ithibati kutoripoti kabisa uchaguzi mkuu kwani kufanya hivyo ni kosa la kisheria. Amesema kuwa ni kosa la kisheria kwa mwandishi wa...
  6. McLaren

    GE2025 Mtendaji Bodi ya Ithibati: Ni kosa la Jinai kufanya uandishi wa habari bila Ithibati, adhabu ni kifungo miaka mitatu

    Akizungumza leo kwenye Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Habari Kanda ya Mashariki Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Wakili Msomi Patrick Kipangula Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari amesema kwamba kwa waandishi wa habari ambao hawana Ithibati na wakaendelea kufanya uandishi wa habari...
  7. M

    Waandishi wa Habari Walalamikia Kasi na Ubora wa Vitambulisho vyao

    Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari imetakiwa kuhakikisha kuwa waandishi ambao maombi yao yamekamilika na kuthibitishwa wanapatiwa vitambulisho kwa wakati, kwani kumekuwa na malalamiko kuhusu ucheleweshaji mkubwa katika utoaji wa vitambulisho hivyo. Aidha, kumeelezwa kuwa ubora wa...
  8. Busu la Kenge

    Bodi ya Ithibati iangaze pia Kwa madalali

    Hii bodi isiishie tu kwa wana habari na waandishi iangazie pia kwenye udalali. Kuna madalali wengi Sana ni Uchwara. Mbona wameweza kudhibiti watu wa auction hadi wawe wamesomea Sheria? N'yadikwa
  9. I

    Sio kweli bodi ya ithibati imezuia watangazaji wakosoaji

    Baada ya watangazaji hawa maarufu kutosikika hewani kwenye vipindi vyao kumekuwepo maneno mengi kila mmoja akisema lake, Mtangazaji @officialzungu yeye ametoa ukweli anachokifahamu ✍️ "Nimeona wanaharakati kadhaa wanafanya UPOTOSHAJI wakisema kuwa Bodi ya Ithibati imezuia wanahabari wakosoaji...
  10. Roving Journalist

    Bodi ya Ithibati yawasimamisha kazi Watangazaji wa Mjini FM waliomuhoji Dogo Paten

    Soma pia: Mahojiano ya Dogo Patten na Mjini FM yazua mjadala Mitandaoni, ya muiuibua Haji Manara
  11. Blasio Kachuchu

    PreGE2025 Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB): Kama unagombea acha kufanya kazi za Uandishi mara moja

    Wanabodi, Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari imewaagiza waandishi wote waliotangaza kugombea nafasi za kisiasa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kusitisha mara moja shughuli zao za kihabari ili kuepuka mgongano wa kimaslahi na kulinda usawa kwa wagombea wote. Pia, bodi imetaka...
  12. Mindyou

    Bodi ya Ithibati yatoa muda wa mwezi mmoja kuanzia 22 Mei hadi 21 Juni 2025 kwa ajili waandishi wa habari kujisajili ili wapate "press card"

    Wakuu, Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imetoa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia tarehe 22 Mei hadi tarehe 21 Juni 2025 kwa Waandishi wa Habari wote wanaofanya kazi za kihabari nchini, kujisajili kupitia Mfumo wa TAI-Habari kwa ajili ya kuomba kuthibitishwa na kupewa vitambulisho...
  13. Just Pray

    Bodi ya Ithibati yawataka waandishi wa habari kujisajili ili watambuliwe rasmi

    Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Tido Mhando, ameongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, akitangaza kuanzishwa kwa mfumo mpya wa kidigitali wa kupata Ithibati na Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card). Kupitia mfumo wa TAl-Habari, waandishi...
  14. Blasio Kachuchu

    Waziri Kabudi aitambulisha Bodi ya Ithibati Bungeni, Dodoma

    •Kuanza mwaka wa Fedha 2025/26 kwa mafunzo Na Mwandishi Wetu, JAB. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na kubainisha kwamba katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha 2025/26...
  15. Blasio Kachuchu

    Kingoba: JAB kutoa leseni za Uandishi wa Habari za Kidigitali, kulipiwa 50,000 kwa miaka miwili

    Bodi ya Ithibati ya Waandishi Habari Tanzania (JAB) imepanga kutoa kadi za kidijitali ili kulinda wanahabari katika suala la utunzaji wa taarifa zao. Kauli hiyo imetolewa tarehe 18 Machi, 2025 jijini Dar es Salaam na Mjumbe wa Bodi hiyo, Mgaya Kingoba, wakati akijibu maswali wakati wa mahojiano...
  16. Roving Journalist

    Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari: Kipaji pekee hakitoshi katika kufanya kazi za kihabari

    Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imeweka bayana msimamo wa kisheria wa Sheria ya Huduma za Habari kuwa kipaji pekee hakitoshi kumfanya mtu afanye kazi za kihabari kama hajapitia katika taaluma ya Uandishi wa Habari na kukidhi vigezo. Msimamo huo umebainishwa na Kaimu Mkurugenzi...
  17. Blasio Kachuchu

    Bodi ya Ithibati kusimamia pia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi-Wakili Kipangula

    Na Mwandishi wetu, JAB. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Wakili Patrick Kipangula amesema mbali na kutekeleza majukumu ya msingi yaliyoainishwa kisheria, bodi hiyo itakuwa na wajibu wa kusimamia Mfumo wa Mafunzo kwa Waandishi wa Habari nchini. Wakili Kipangula...
Back
Top Bottom