Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki na Waendesha Bodaboda Mkoa wa Mbeya, Aliko Fwanda, amemwambia ukweli Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, akidai kuwa kiongozi huyo hana mamlaka ya kuitisha kikao cha madereva hao bila kufuata utaratibu na kuwashirikisha viongozi wao wakuu.
Fwanda...
Wakuu,
Hivi ni lini Serikali itakuja kukubali hizi propaganda za kuchukua a certain section of a certain demographics na kuwarekodi in a video kupush agenda kwamba hiyo mbinu sasa hivi haifanyi kazi?
Si hata wawe wabunifu?
=================================
Bodaboda katika Kata ya Kiwira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.