biashara ya usafirishaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Msimu wa biashara ya usafirishaji

    🔥 USAFIRI NI BIASHARA YA MSIMU — JE UPO TAYARI KUVUNA FAIDA? 🔥 High season inakaribia kwa kasi (Juni – Desemba) — huu ndio muda ambao mabasi yanafanya pesa halisi 💰 👉 Usisubiri msimu uanze ndipo uanze kutafuta bus… utachelewa! 🚨 Weka order yako SASA Ili kufikia high season uwe tayari na bus...
  2. M

    Wabongo bado sana kwenye biashara ya usafirishaji na uchukuzi

    Ninaunga mkono kwa 100% serikali kubinafsisha kwa wazungu, waarabu au hata wachina shughuli zote za usafirishaji na uchukuzi. Reli, bandari, mabasi na kwingine kote kunakohusiana WABINAFSISHE. Sisi wazawa hatuwezi hizo kazi. Ufanisi mdogo sana. Nimeandika baada ya kushindwa kuvumilia...
  3. R

    Kuomba ushauri wa biashara ya usafirishaji mizigo kwa gari aina ya canter

    Habarini wanajamvi samahanini naomba kuuliza kidogo juu ya hili swala. Ninampango wa kununua CANTER USED ilio katika hali nzuri ili niweze kufanya biashara ya usafirishaji ambapo katika biashara mimi nitakaa kama Tandu kushoto. Sasa naombeni msaada wenu wa A,B,C juu ya hii biashara 1. Naomba...
  4. SSH2025_2030

    Mafuriko ya SGR: Shabiby & Abood wakimbilia route za Tanga, Tunduma

    Kufuatia mafuriko ya SGR (Dar-Moro- Dodoma) mabasi ya Shabiby na Abood wamejiongeza na kutafuta route mpya. Asante Samia
  5. F

    Tetesi: Kampuni ya Azam kuanza usafirishaji wa Abiria kwa njia ya Mabasi hivi karibuni

    Kumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu. Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na Kigoma hadi Bukoba. Baadae atajitanua taratibu nchi nzima. Source: Mnyetishaji ndani ya kampuni.
  6. PureView zeiss

    PICHA: Hii biashara ya usafirishaji wahamiaji inafanywa na matajiri wakubwa wenye connection na vigogo

    Kwenye Sector ya usafiri kuna Ma mafia wengi sana. I just saw picha ya gari la mzigo tena loose cargo inasafirisha wahamiaji haramu nikashangaa sana. Yaani gari ukiona mzigo ni bomba za maji zimewekwa kwa kichanja. Ila ndani kuna chumba raia wamepumzika wanasafiri na maisha yanaendelea. Sasa...
  7. K

    Nianze vipi kufanya biashara ya usafirishaji?

    Nifanyeje ili niweze kuanza biashara ya usafirishaji (cago) nikiwa sina gari kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani.
  8. Miss Zomboko

    Hali ya Biashara ya usafirishaji haramu wa Binadamu nchini Tanzania na Duniani

    Tanzania ni chanzo, mkondo, na nchi kusudio la safari kwa wanaume, wanawake na watoto wanaokabiliwa na ajira za kulazimishwa pamoja na biashara ya ngono. Kasi ya matukio ya biashara haramu ya usafirishaji wa ndani inazidi ile ya matukio au kiwango cha biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu...
  9. King_kally

    Biashara ya usafirishaji makaa ya mawe

    Habari wakuu, naombeni msaada na ushauri juu ya biashara ya kusafirisha makaa ya mawe. Nataka kununua gari ili nianze usafirishaji wa makaa ya mawe. Natanguliza shukrani kwa wote watakao changia mada hii.
  10. Smith Rowe

    Wanalalamika biashara ya usafirishaji ni hasara ila kila siku wanazidi kuleta magari

    Bila salamu, Haya makampuni ya usafirishaji kila siku barabarani wanaleta chuma mpya, mfano unakuta mtu alianza na fuso moja anatoa ndizi Moshi anashusha Dar baada ya miezi sita analeta chuma nyingine. Mtu alikuwa anagari mbili route ya Iringa to Dar baada ya mwaka ana gari sita. Bado sisi...
  11. Kaka yake shetani

    Biashara ya usafirishaji wa anga ni biashara kichaa, sijui nani alimshauri Hayati Magufuli

    Hii biashara ya usafirishaji wa ndege ni ngumu sana ndio usishangae taifa kubwa kama USA kupitia serikali yake kutojiusisha na biashara hii. Pesa tulizopoteza kununua madege kwa nchi changa kama hii zingeweza kuboresha viwanja vya ndege kwenye mikoa iliyo na kuitaji huduma na kuita wawekazaji...
Back
Top Bottom