Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,453
- 8,319
Hii biashara ya usafirishaji wa ndege ni ngumu sana ndio usishangae taifa kubwa kama USA kupitia serikali yake kutojiusisha na biashara hii.
Pesa tulizopoteza kununua madege kwa nchi changa kama hii zingeweza kuboresha viwanja vya ndege kwenye mikoa iliyo na kuitaji huduma na kuita wawekazaji ndani na nje kila mtu kufanya biashara.
Kuna matajiri waliopo ndani tz na nje anaweza kununua ndege yake moja kwa ajili ya kufanya usafiri wa mkoa wake kama viwanja vingekuwa vimeboreshwa.
Serikali inatakiwa kushauriwa kuondoa ubinafsi kwenye sekta ambazo kwa sasa ilitakiwa kuachana nazo ili kupata mapato kwa njia nyengine.
Wekezeni kwenye miundo mbinu kama viwanja,barabara,bandari kavu,bandari za kisasa na n.k ili watakao kuja kufanya biashara muwatoze kodi mbona mnaweza kutengeneza masoko kwa ajili ya wafanya biashara wadogo mkashindwa hayo.
Pesa tulizopoteza kununua madege kwa nchi changa kama hii zingeweza kuboresha viwanja vya ndege kwenye mikoa iliyo na kuitaji huduma na kuita wawekazaji ndani na nje kila mtu kufanya biashara.
Kuna matajiri waliopo ndani tz na nje anaweza kununua ndege yake moja kwa ajili ya kufanya usafiri wa mkoa wake kama viwanja vingekuwa vimeboreshwa.
Serikali inatakiwa kushauriwa kuondoa ubinafsi kwenye sekta ambazo kwa sasa ilitakiwa kuachana nazo ili kupata mapato kwa njia nyengine.
Wekezeni kwenye miundo mbinu kama viwanja,barabara,bandari kavu,bandari za kisasa na n.k ili watakao kuja kufanya biashara muwatoze kodi mbona mnaweza kutengeneza masoko kwa ajili ya wafanya biashara wadogo mkashindwa hayo.