Nina imani sote humu tuko njema.
Niende direct, kumekuwa na wimbi kubwa la watoto wenye umri kati ya 7-14 wamezagaa sana mitaani mkoani Kigoma hasa Kigoma Mjini
Hii nadhani ni tatizo kubwa linahitaji dawa, vijana hawa umri wao ni wa kuwa shuleni lakini muda wote wapo mitaani, stand za...
Wakuu nataka niache aibu nianze kuuza moyai mjini.
Trei 1 ni 6500. Nikiyachemsha na kuyauza kila trey napata 15000, tuseme kuanzia asubuhi hadi jioni nikauza trey nne, nitakuwa na faida ya Tsh 34000 na hio ni siku moja.
Nikiuza mwezi mzima nitakuwa na tsh 34000 ×30 =1020000 hapo nikitoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.