biashara

  1. Software gani nzuri kwa biashara?

    Wadau naamini nimefikisha issue yangu mahali husika, ingawa nilipata tabu kidogo niipost katika jukwaa lipi kati ya hili, sayansi na teknolojia au jf store. Nina mradi wangu wa duka la bidhaa mbali mbali nahitaji kuistall simple software itakayo nirahisishia mahesabu yangu na kufanya stock...
  2. M

    Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

    Wana jukwaa, Naomba maelezo ya namna ya kuwa wakala wa M-PESA pamoja na uuzaji wa luku. Ikiwezekana kama kuna mtu anayehusika moja kwa moja naomba kumuona. Nipo Dar es Salaam wapalepale post Heshima kwenu, 1. M PESA 2. Tigo pesa 3. Airtel money 4. CRDB fahari huduma 5. Kifaa cha max malipo...
  3. Q

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Naomba msaada wenu nina duka la nguo la kawaida tu na lipo eneo zuri la biashara kinachonishangaza sipati faida kabisa je kuna yeyote kwenye biashara hiyo ambaye anaweza kunishauri jinsi ya kulisimamia? Mimi ni mfanyakazi kwa hiyo si mara kwa mara nakuwa dukani hapo. Naombeni ushauri...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…