Serikali imewapa siku saba wazalishaji wa saruji nchini kuwasilisha mapendekezo ya namna ya kukabiliana na changamoto ya kupanda kwa bei na upatikanaji wa bidhaa hiyo katika soko.
Magizo hayo yametolewa na ayo yametolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum...
Makampuni mbalimbali makubwa ya saruji nchini (ikiwemo Dangote, Moshi Cement/Jun Yu, Tanga Cement/Simba, Lake Cement/Nyati, na Mbeya Cement) yametangaza kupandisha bei za bidhaa zao kuanzia mwanzoni mwa mwezi Julai 2026.
Makampuni yote yanataja sababu zinazofanana zilizopelekea mabadiliko hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.