Watanzania tubadilike!
Biashara usiposhirikisha watoto au mke mara nyingi huweza kudhoofika, kufa au kuuzwa kwa bei ya chini sana ukitoweka.
Familia nyingi sana za wafanyabiashara zimedidimia kiuchumi na kuteseka kwa kukosa mwelekeo na umiliki thabiti wa mali.
Tujenge utamaduni wa...
Wasee wa Kirinyaga County sai wako pressure juu bei ya nyanya imepanda mbaya sana after mvua kunyesha nonstop na kuharibu mashamba.
Kwa mujibu wa ripoti, mvua hizo zimeharibu mazao na kushusha mavuno vibaya. Result? Nyanya ziko chache kwa market, na bei imeenda juu hadi imeanza kuwa luxury kwa...
Wiki za hivi karibuni bei ya nyanya ipo chini sana, mfano Dar es Salaam juzi napita sokoni wanauza sado ya nyanya kwa elfu 1.
Hii haina faida kabisa kwa wakulima ukizingatia mahitaji ya kulima na kuitunza nyanya yenywe ikiwa shambani ni gharama sna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.