The British Broadcasting Corporation (BBC) took its present form on 1 January 1927 when John Reith became its first Director-General. Reith stated that impartiality and objectivity were the essence of professionalism in its broadcasting. Allegations that the corporation lacks impartial and objective journalism have been made by observers on both the left and the right of the political spectrum. Another area of criticism has been the mandatory licence fee, as commercial competitors argue the licence fee is unfair and limits their ability to compete with the BBC.
Mchambuzi wa Masuala ya Siasa na Uongozi, Paternus Niyegira, akizungumza katika mahojiano na Crown Media mnamo Julai 14, 2026, amesema kuwa hakukuwa na haja Msemaji Mkuu wa Serikali kutoa tamko kuhusiana na Makala iliyotolewa hivi karibuni ya BBC kwa kufanya hivyo inabidi ijiridhishe kwanza kuwa...
Wakuu,
Hili suala la Tundu Lissu limeendelea kutuchafua Tanzania Kimataifa
Documentary za aina hii tushazoea kuziona zikifanyika kwenye Banana Republics kama Burundi, Sudan na kwingineko lakini leo inafanyika Tanzania
Kwa Documentary kama hizi, watu kama Dangote watakuja kuwekeza Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.