baba wa kambo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mahakama yaamuru Baba wa Kambo kuendelea kulipia matunzo ya watoto wake wa kambo mara baada ya talaka na single mama

    Daah! Wakuu sisi tunaoishi na SINGLE MOTHERS tuwe makini sana. Mwenzetu huko Afrika Kusini aliyekuwa akiishi na single mama yamemkuta. Kaamriwa kuendelea kulipia matunzo ya watoto wa single mama. Ni hela mingi laana. =========================== Court Orders Divorced Man to Pay R40,000 in...
  2. M

    Hata ukiwa baba wa kambo mwenye upendo kupitiliza, watoto wa kambo wengi wakiwa wakubwa hukusahau na kurudi upande wa baba zao

    Nimeshaziona familia kadhaa ambazo kulikuwa na watoto wa nje, baba wa kambo wanajitahidi sana kuwapenda lakini wakishaanza kuwa wakubwa wanataka kuwa karibu na baba zao au ndugu wa baba zao halisi . Wakishaanza maisha ya kujitegemea huanza kusahau baba zao wa kambo au kulazimisha mahusiano...
  3. Hasara za kuwa baba wa kambo

    1. Daima mama mtoto atakuona fala. Usidanganyike na ngozi ya kondoo aliyojivika kwa nje, ukweli ni kwamba kwenye akili yake anakutafsiri tofauti. Anakuona simp mmoja mjinga jinga. Hata hivyo ukweli wewe ni mjinga na mama mtoto analijua ilo ndio maana hata yeye hawezi kuruhusu/kufurahia kaka au...
  4. Baba wa Kambo, Mzimu wa Kambo

    BABA WA KAMBO; MZIMU WA KAMBO Anaandika, Robert Heriel Mtibeli ANGALIZO: Mada hii ni Tata, utata wake upo sehemu Mbili; Moja, Mada inaweza kugusa Maslahi ya Watu hasa Wanawake wasiowaaminifu, waliobambikia Wanaume Watoto wasio waô. Pili, Viongozi wa Kidini na wale wasioamini Mambo ya Mizimu...
  5. Huyu Dada yupo sahihi kuhusu Baba wa kambo?

  6. Baba wa kambo jela kwa kumuambukiza mtoto UKIMWI kwa makusudi

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mara imemuhukumu kwenda jela miaka saba Msirari Muhere (60) mkazi wa Wilaya ya Tarime baada ya kupatikana na hatia ya kumuambukiza ugonjwa wa Ukimwi mtoto wa miaka sita kwa makusudi. Hukumu hiyo imetolewa mjini hapa leo Mei 31, 2023 na Hakimu Mkazi Mkuu mwenye...
  7. Naomba Ushauri: Nisimame na Baba Mzazi au wa kambo?

    Habari Wakuu, nakuja mbele yenu kuomba ushauri, japo nimepata shauri mbalimbali za hapa na pale kwa watu wa karibu na wa mbali niliowahi kukutana nao. Nianze na historia yangu kwa ufupi. Nilizaliwa mwanzoni mwa miaka ya 90. Mama alizalia nyumbani kwao wakati bado ni mwanafunzi, haikua rahisi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…