askofu mwamakula

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dalton elijah

    Askofu Mwamakula Aibuka na Ujumbe Mzito Kufuatia Kauli ya Paschal Mayala

    PASCHAL MAYALA NA KABURI LA MEDIA! Nimeona taarifa inayosema Baraza la Ithibati la Waandishi wa Habari limempa Paschal Mayala saa 24 athibitishe kauli yake kuwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji wa msiba wa Kadinali Pengo kuwashangilia mawaziri wakuu...
  2. Kiranja Mkuu

    Askofu Mwamakula autunishia misuli Tume ya Uchunguzi ya mauji ya 29 October 2025, agomea kwa sababu tume imeundwa na mshukiwa namba moja wa mauaji

    ASKOFU MWAMAKULA APATA WITO KUFIKA MBELE YA TUME YA RAIS! Ndugu Watanzania! Kama mtakumbuka, Rais Samia aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu machafuko ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Siku ya Jumamosi tarehe 17 Januari 2026, Mhashamu Baba Askofu Mwamakula aliletewa barua iliyotoka Tume ya Rais ya...
  3. Dalton elijah

    Askofu Mwamakula aigomea Tume ya kuchunguza matukio uchaguzi mkuu 29 Oktoba 2025

    Ndugu Watanzania! Kama mtakumbuka, Rais Samia aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu machafuko ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Siku ya Jumamosi tarehe 17 Januari 2026, Mhashamu Baba Askofu Mwamakula aliletewa barua iliyotoka Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa...
  4. Inside10

    PostGE2025 Askofu Mwamakula apendekeza Ibada Maalumu Kwa waliouwa Oktoba 29

    Askofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian Tanzania, Emmaus Mwamakula, amependekeza kuwa kila mkoa ambako mauaji yalifanyika, Oktoba 29, 30 na 31 mwaka hii, ipangwe siku ambayo watu watakusanyika uwanjani kufanya sala za wafu na kuweka mashada ya maua. ‎ ‎Askofu huyo ameandika hayo Desemba 15, 2025...
  5. MamaSamia2025

    Askofu Mwamakula unavuka mipaka kwa kuhamasisha GenZ wawe kama watoto waliolazimishwa kupigana vitani na Museveni

    Askofu wa CHADEMA Mwamakula kaandika hivi kwenye ukurasa wake wa Facebook; __________________________ GEN Z WALIOMUINGIZA MUSEVENI IKULU! Edith (15) mmoja wa ma Gen Z wa Museveni akilinda Hospitali Kuu ya Kampala baada ya Yoweri Museveni kuukamata mji wa Kampala mwaka 1986 katika mapigano...
  6. MamaSamia2025

    Kupitia hii post ya Askofu Mwamakula huenda askofu ana kikundi cha utesaji

    Mwenyewe anadai kuna watu walilipa gharama mara baada ya utawala wa Magufuli kwa kosa la kumtolea kauli chafu mtandaoni. Askofu amedai ana watu wake wa kumfanyia hiyo kazi ya kuwaadhibu watu waliomkosea. Je, Askofu Mwamakula sio mhusika wa genge la WASIOJULIKANA? Kwa maelezo yake ni kwamba genge...
  7. Dalton elijah

    SI KWELI Je ni kweli Bangi Ekari 10 zimepatikana Kwenye shamba La Askofu Mwamakula

    Kumekuwepo Na Taarifa Ambayo Imechapishwa Kwenda mtandao wa Facebook Ikieleza kuwa Bangi Ekari 10 zimepatikana Katika Shamba la Askofu Emmaüs Bandikile..je Taarifa Hiyo Ina Ukweli Kiasi Gani.
  8. MamaSamia2025

    CHADEMA na Askofu Mwamakula acheni kuchapisha mitandaoni habari za uongo

    Inasikitisha sana kuona huyu Askofu wa CHADEMA, ndugu Mwamakula pamoja na chama chake wakipost mara kwa mara habari za uongo ili mradi kuishambulia CCM. Wakikamatwa na kufunguliwa mashtaka watamlaumu mtu? Jana Askofu wa CHADEMA kazusha kuwa Rais Samia kahojiwa na THE REPORTER KE na kujibu jinsi...
  9. Dalton elijah

    Askofu Mwamakula Afunguka: Shambulio la Fr. Kitima Tunataka Haki, Rais Atanyooshewa Kidole!

    Mwamakula Ametuma salamu za pole huku akilaani tukio hilo huku akieleza kuiwa tukio hilo haliwezi kuwarudisha nyuma katika kudai haki nchini tanzania ameeleza kuwa misimao hiyo intoka na kile ambacho inatokana na fr kitima kutoa tamko kuhusu hali ya demokrasia nchi na kuelezea kuwa tukio...
  10. kipara kipya

    Kweli makamanda wamevurugwa wana mkana Askofu mwamakula hawajui kanisa lake!

    Hili kitambo tulihoji ila mahaba yakizidi chongo huitwa kengeza sijaongeza......
  11. Kipenzi Changu

    Askofu Mwamakula aonyesha jinsi CCM walivyoiba kura "kijinga" kabisa

    Halafu kuna mtu anadhihaki No Reform No Election (NRNE) My Take Sasa hii inatofauti gani na utapeli wa Nicole Berry😂😂😂😂
  12. Just Pray

    Askofu Mwamakula: Waliomteka Method Damian wamuachie

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho, Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ametoa wito kwa wale wanaomshikilia baada ya kumteka kijana Method Damian Kumdyanko na kuacha kuitisha familia na jamaa zake wa karibu. Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanywa na...
  13. Cute Wife

    PreGE2025 Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye

    Wakuu, Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe). Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa! ===== Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu...
  14. milele amina

    Askofu Mwamakula, ni vizuri kujua kuhusu kanisa lako, wachungaji, na waumini wako

    Askofu Mwamakula, ni vizuri kujua kuhusu kanisa lako, wachungaji, na waumini wako. Hapa kuna maswali kadhaa ambayo yanaweza kusaidia kuelewa vizuri zaidi kuhusu kanisa lako. Kanisa Lako Liko Wapi? Ni muhimu kujua eneo la kanisa lako. Je, liko katika jiji, kijiji, au eneo maalum? Mahali...
  15. Orketeemi

    Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

    KABENDERA ANADAI BEN SANANE ALIUAWA NA 'BWANA MKUBWA'! Mwishoni mwa mwaka 2020, nilipata ujumbe mzito kutoka kwa Rais Magufuli kupitia kwa mtu wake mmoja ambaye jina lake linatunzwa. Rais alimtuma kwangu akiniomba nishawishi Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Tundu Lissu waridhie wabunge wanawake 19...
  16. Mindyou

    Askofu Mwamakula: Hata sisi tunaowatetea CHADEMA tukigundua kuwa kuna ufinyaji wa haki mle ndani hatutawatetea tena

    Wakuu, Akiwa anazungumza hivi karibuni kwenye mazungumzo yake ya moja kwa moja na Jambo TV, Askofu Mwamakula amezungumzia mchakato wa Uchaguzi unaoendelea kwa sasa ndani ya CHADEMA Askofu Mwamakula amesema kuwa hata wao ambao hujitokeza pale ambapo CHADEMA wanateswa, wakiona kuwa kuwa...
  17. Inside10

    Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

    “Juzi tumekuwa na janga pale Kariakoo, nchi imesimama kwa sababu ya janga la pale Kariakoo. Wote tumeguswa kwa ajili ya watu ambao tumetangaziwa 13 wamefariki, wale watu wamekufa wakati wanatafuta Maisha, wamekatishwa na kifusi kama Watanzania ni janga la kitaifa.” “Lakini iweje mtu...
  18. W

    Askofu Mwamakula: Vyuo Vikuu vinazalisha wahitimu wanaokuwa "Machawa" wa wanasiasa

    Akichangia mjadala katika Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, Askofu wa Kanisa la Moravian Revival Church, Emmaus Mwamakula amesema kuwa kuna vyuo vikuu nchini vinashindwa kuandaa viongozi wa baadae badala yake kuzalisha wahitimu wanaojipendekeza kwa wanasiasa na kuona Siasa ni ajira Amesema hayo...
  19. comte

    Askofu Mwamakula: Nina wasiwasi kuhusu uwepo wa Askari Mstaafu katika tukio la Utekaji la Tashriff Luxury Coach

    Askofu Emmaus Mwamakula ameonyesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu tukio la utekaji lililotokea ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach, ambapo Ali Mohamed Kibao alitekwa kwa nguvu. Katika taarifa yake ya hivi karibuni, Askofu Mwamakula amekosoa hatua zilizochukuliwa na askari mstaafu wa jeshi la...
  20. Waufukweni

    Askofu Mwamakula: Taifa linaelekea kubaya watawala wasiwe viziwi kwa haya matukio

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania, Emau Mwamakula, ametoa tahadhari kuhusu hali ya usalama nchini. Akizungumza kwenye mahojiano na Jambo TV, Mwamakula ameeleza kuwa watekaji wapo ndani ya jamii na hatari inayokua inapaswa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa. Amesisitiza haja ya...
Back
Top Bottom