ardhi ya tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Keynez

    PostGE2025 Haitafika mwezi February 2026, kutakuwa na Jeshi la kulinda Amani ndani ya ardhi ya Tanzania

    Huu ni mtazamo wangu tu kwa kile ninachokiona kinaweza kutokea. Kwa jinsi joto la kisiasa linavyoendelea na misimamo mikali ambayo pande zote imejiwekea, naona kabisa umuhimu, ulazima na uwezekano wa uwepo wa Jeshi la Kulinda Amani ndani ya ardhi ya Tanzania ifikapo February 2026. Hili...
  2. Mshana Jr

    Mikataba ya mangungo katika jina la Uwekezaji

    Je, hoja ya Martin Maranja Masese ina ukweli kiasi gani? Je, kama ina ukweli ina madhara au faida kwa kiwango gani? Je, ni nani mchochezi hapa? Je, ni Masese? Ni hao 'waliouza' mali au rasilimali za Watanzania au askofu aliyeposti andiko hili la Masese? Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni...
  3. Masalu Jacob

    Kwa kuwa JWTZ inahusika na ulinzi wa mipaka ya nchi sio vibaya wakapewa jukumu la ulinzi wa ardhi ili kuondoa migogoro ya ardhi

    Habari Tanzania ! Natamani sana siku moja ardhi hii ya Tanzania isimamiwe na kuangaliwa toka moja kwa moja ofisi za JWT. Usalama wa nchi ni sambamba na ardhi. Kwa kuwa chombo cha JWTZ kinahusika na ulinzi wa mipaka ya nchi sio vibaya wakapewa jukumu la ulinzi wa ardhi. 1. Hakutakuwa na...
  4. Lycaon pictus

    PreGE2025 Moja ya mtaji mkubwa sana wa CCM ni sera ya ardhi ya Tanzania

    Baada ya mwaka jana chama cha ANC kupata kiasi cha asilimia 40 tu ya kura, mwaka huu wamekuja na sera ya kuwezesha kufanyika land redistribution. Kwa miaka yote wazungu wachache wa SA bado walikuwa wanashikilia asilimia 70 ya ardhi yote ya nchi hiyo. Serikali ya ANC kushindwa kuwapatia ardhi...
  5. Mindyou

    Wakili Mwabukusi: Kuna watu wanapotosha kuwa ardhi ya Tanzania inamilikiwa na Rais na akitaka anakuondoa muda wowote

    Wakuu, Nadhani ushawahi kusikia ile notion ya kwamba ardhi ya Tanzania yote inamilikiwa na Rais na kwamba Rais akitaka anaweza kukuondoa muda wowote. Akiwa anazungumza siku ya jana kwenye mdahalo ambao uliandaliwa na Jamii Forums pamoja na Star TV, Wakili Mwabukusi alisema kuwa huo ni...
  6. TUKANA UONE

    Gamondi hadi muda huu kwenye Ardhi ya Tanzania anafanya nini?

    KUHUSU GAMONDI Nilidhani baada ya mechi huyu mtu hakupaswa hata kukanyaga Avic town,lakini Kwa mshangao nimeshangaa hadi muda huu yupo tu anadunda kama kitenesi! Viongozi wa Yanga mnatukosea sana mashabiki na wanachama hadi muda huu!,niwaulize nyie viongozi,Je,huyo Gamondi ni mwanahisa hapo...
  7. K

    Ardhi tunayo, tumekosa siasa safi na watu kupiga hatua

    Iliwahi kutajwa kuwa ili tuendelee tunahitaji ardhi, siasa safi na watu. Ardhi ipo hadi yakumwaga, siasa ipo hadi vyuo vikuu isipokuwa imekosa maji na sabuni ili ioshwe iwe safi na hii ni kwasababu nchi haina "watu" wenye uwezo wa kuiosha na kuondoa madoa sugu yaliyoachwa na yanayoendelea...
Back
Top Bottom