Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo, amesema Utanzania hauwezi kuzungumziwa bila ya amani, akiwasihi Watanzania kumuomba mungu ili kuepuka kuizoea amani kiasi cha kupelekea kuipoteza.
Prof. Kitila amezungumza hayo akimwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...