The Amani Forest Reserve, officially listed as Amani Nature Forest Reserve (Msitu wa Akiba wa Amani, In Swahili) is a forest reserve of Tanzania located the Muheza and Korogwe Districts in the Tanga Region of Tanzania. The nature reserve was established in 1997 in order to preserve the unique flora and fauna of the East Usambara Mountains. The East and West Usambara Mountains are a biodiversity hotspot. The Amani Nature Reserve includes tropical cloud forest habitats.
Amani is home to African violet (Saintpaulia), which are thought to have a spiritual component (power of forgiveness) to the native Shambaa people, has enormous ecological value in the Amani ecosystem. The region is listed as one of the top 12 bird-watching locations in the world by Bird Life International, and the Reserve is a recognized Man and Biosphere Reserve by UNESCO.
Na Mwandishi Wetu.
JAMII ya Wandondi na Wandwewe, imetoa mwito wa kitaifa na kimataifa kwa watu wote wenye nia njema kuungana katika Dua Maalum kwa ajili ya Amani, Umoja, Maridhiano, Mshikamano na Ulinzi wa Maisha ya Binadamu.
Dua hiyo ni mwito wa pamoja unaolenga kuwakutanisha watu wa imani...
Tanzania imeporomoka kwa nafasi 20 katika Ripoti ya Kipimo cha Amani Duniani (Global Peace Index - GPI 2026), na sasa inashika nafasi ya 98 kati ya nchi 163 zilizotathminiwa duniani.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyotolewa na Taasisi ya Uchumi na Amani (Institute for Economics & Peace - IEP)...
NB: Nina Akili Ndogo Sana
Kabla ya vurugu na mauaji ya Oktoba 2025, TCRA waliwahi kuchezea mifumo ya utendaji kazi pale ofisi zao kuu za Dar Es Salaam kisha nikawaandikia ujumbe huu wa barua pepe pasipo mimi kujua kama Kuna balaa linakuja mwezi wa Oktober.
====
Habari za wakati huu,
Ndugu...
Huyu jamaa nilimfahamu katika uzi mmoja Jf Kuna madu alikuwa anamzungumzia hapo nikaaenda moja kwa Moja Instagram katika akaunti yake kufuatilia.
1. Katika kipindi ambacho watu wanaopenda Amani walikuwa wanaogopa hata kukomenti mitandaoni kukemea Fujo za maandamano kwa kuhofia matusi na kejelu...
Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Tabora limepiga marufuku wahubiri na wahadhiri wa kiislamu kutoa matamko yanayoweza kuzua taharuki kufuatia vurugu zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29.
Akizungumza wakati wa sherehe za Watoto waliohitimu mafunzo ya Quran Mkoani...
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kati (Singida), Dkt. Cyprian Hilinti, ametoa wito kwa Watanzania kuilinda amani iliyopo nchini, akisisitiza kuwa bila amani hakuna shughuli yoyote ya uzalishaji, kiuchumi, kidini wala kijamii inayoweza kuendelea.
''hawa watu wanaochoma sheli ukifuatilia shida inaanzia...
Nashangaa sana na watanzania wanaosema wamemuachia Mungu atutetee.
Jamani, kweli Mungu anaweza kumtetea watu mwenye akili timamu, mikono miwili na miguu miwili, halafu wanakaa tu bila kufanya kitu?
Wengine wanajificha kwenye kivuli cha unyonge, lakini unyonge gani huo kama tuna akili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.