amani golugwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    PostGE2025 Amani Golugwa: Mwigulu anapotosha. Suala la Katiba halikuletwa ndani ya miezi 3

    Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Amani Golugwa, amemtaka Dkt. Mwigulu Nchemba kuacha kupotosha umma kuhusu madai ya msingi ya wananchi juu ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Amesema madai hayo hayakuibuka ndani ya miezi mitatu kuelekea uchaguzi mkuu, bali yalianza muda mrefu uliopita...
  2. DuaZaMama

    PostGE2025 Amani Golugwa: Serikali imeshindwa kujibu kuhusu kaburi la halaiki, twendeni na kamera, greda tukachimbe

    Naibu Katibu Mkuu, Amani Golugwa, amesema serikali kupitia kwa Msemaji wa Serikali imeshindwa kujibu tuhuma zilizotolewa na CNN kuhusu uwepo wa makaburi ya halaiki. Amesema kama kuna uwezekano, waende kwa kutumia kamera na greda wakafukue maeneo yanayotajwa ili kupata ukweli wa suala hilo...
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Amani Golugwa: Serikali ilipaswa kuzungumza kuhusu watu badala ya uharibifu wa miundombinu kama vituo vya Polisi

    Naibu Katibu Mkuu, Amani Golugwa, amesema kauli ya Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuhusu idadi ya watu waliopoteza maisha katika maandamano ya Oktoba 29 ni ya kubeza maumivu ya familia zilizofiwa. Amesema kuwa katika kipindi hiki serikali ilipaswa kujikita zaidi kwenye mazungumzo kuhusu watu...
  4. R

    PostGE2025 Golugwa: Kauli za Mwigulu zinaashiria serikali haipo tayari kuchukua hatua wala kukiri juu ya UTEKAJI

    Akizungumza leo Novemba 27, 2025 Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Amani Golugwa amerejelea Mkutano wa Wazirir Mkuu Dkt. Mwigulu na wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika Novemba 25 akitoa ufafanuzi juu ya swali kwamb kwa nini Serikali haijatoa idadi vifo vya...
  5. Just Pray

    GE2025 Golugwa akamatwa na jeshi la polisi nyumbani kwake Dar

    AMANI Golugwa, Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) bara, amekamatwa na jeshi la polisi, akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. ikumbukwe kuwa jeshi la polisi hapo jana lilitangaza msako wa kuwatafuta viongozi wa chama hicho. Pia Soma: Polisi: Gwajima, Golugwa...
  6. DuaZaMama

    GE2025 Golugwa: Pamoja na kumpoteza Nyalusi, CHADEMA itaendelea kupigania haki na ukombozi wa taifa

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, amesema kuwa chama hicho kitaendelea kupigania haki na ukombozi wa taifa licha ya changamoto mbalimbali zinaoendelea nchini . Kauli hiyo ameitoa wakati akishiriki mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA...
  7. Just Pray

    GE2025 Amani Golugwa: Siku tukiwatoa Madarakani CCM, Chama kitakufa, wamezoea wanabebwa na dola

    "Siku tukiwatoa Madarakani CCM kwa jina la Mungu muumba wa majeshi hiki chama kitakufa kwa sababu wamelegealegea, wamezoea utepeutepe, wanabebwabebwa na dola, siku tukiwatoa na jinsi tulivyo na hasira kuijenga taifa hili, jinsi tulivyo na akili ya kutumia rasilimali za taifa hili itatuchukua...
  8. Just Pray

    GE2025 Amani Golugwa: Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi alisaidie taifa pawepo na uchunguzi ili taifa lijiridhishe tuhuma mfumo wa uchaguzi uliongiliwa

    Akizungumza kupita Global TV Naibu katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Amani Golugwa amesema wamemuandikia barua mkuu wa majeshi nchini kumkumbusha kauli ya ya baba wa taifa kuhusu wajibu wa jeshi la wananchi kulinda katiba na mfumo wa vyama vingi. "Tumemuandikia barua mkuu...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Golugwa: Mikutano ya hadhara ilitupa ushahidi jinsi ambavyo nchi hii inahitaji reforms kwenye mifumo ya uchaguzi

    Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, amesema chama hicho kilifanya mashauriano ya kina na makundi mbalimbali ya kijamii kabla ya kuanza kampeni za mikutano ya hadhara ya viongozi wake wakuu, na matokeo yake yameonesha uungwaji mkono mkubwa...
  10. Waufukweni

    GE2025 Amani Golugwa: Injinia Hersi ananung’unikiwa na Wanayanga na WanaCCM

    "Injinia Hersi Said ametuthibitishia kwamba ni mfanyakazi wa GSM na wakati huohuo ni Rais wa klabu ya Yanga... a conflict of interest (Mgongano wa kimaslahi). Inapotokea kwamba wewe ni kiongozi wa klabu, halafu wewe pia ni sehemu ya watumishi wa kampuni inayodhamini hiyo klabu. Inapotokea...
  11. Waufukweni

    GE2025 Amani Golugwa: CHADEMA hatujanuniana na Mbowe, faragha yake iheshimiwe

    Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA – Tanzania Bara, Amani Golugwa, amefunguka kuhusu ukimya wa hivi karibuni kati ya chama na Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe, akisisitiza kuwa hakuna ugomvi wala kununiana.
  12. Waufukweni

    GE2025 Amani Golugwa: Mbowe anawajibu wa kuzungumza na hatakiwa kuukwepa kabisa, Watanzania wanamshangaa!

    Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) – Tanzania Bara, Amani Golugwa ameweka sawa kuhusiana na ukimya mzito wa mwenyekiti mstaafu wa chama chao Freeman Mbowe.
  13. Waufukweni

    PreGE2025 Amani Golugwa aachiwa kwa dhamana, Viongozi wengine waachiwa pia na kutakiwa kuripoti polisi kesho

    Wakili msomi Dickson Matata kwa kushirikiana na jopo la mawakili wa CHADEMA, wamefanikiwa kupigania haki ya dhamana kwa Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa, ambaye alikamatwa usiku wa kuamkia leo Mei 13, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na kushikiliwa katika...
  14. Waufukweni

    PreGE2025 Wadhamini waliofika Polisi kumdhamini Golugwa wakamatwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa wadhamini waliokwenda katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumdhamini Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa, wamekamatwa na Jeshi la Polisi wakiwa kituoni hapo. Taarifa ya chama hicho imeeleza kuwa waliokamatwa...
  15. Cute Wife

    PreGE2025 Polisi wasema wamemkamata Golugwa kutokana na taarifa za siri kuwa anasafiri bila kufuata sheria!

    Wakuu, Ila Polisi :BearLaugh: :BearLaugh: mpaka hata ni fezea kuanza kuwajibu! Hivi wanajiskiaje wakiandika huu upuuzi? Uhamiaji wako wapi kufanya kazi yao? Na kipindi chote hiko walikuwa hawaoni kama anashida kwenye documents zake? Asee Jeshi la Polisi sasa limekuwa kama tambara kwa...
  16. toriyama

    PreGE2025 CHADEMA: Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa amekamatwa na Jeshi la Polisi usiku wa leo. Inadaiwa amepigwa sana

    Wakuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa ya kukamatwa kwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho upande wa Bara, Mhe. Amani Golugwa, usiku wa kuamkia Jumanne, Mei 13, 2025, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam. Pia Soma: Jeshi la...
  17. Just Pray

    Amani Golugwa: Kupotea kwa Mdude Tulitarajia maafisa wawili waliotajwa, kuwafuatiliwa, kuwajua lakini jitihada hazijazaa matunda

    "Jitihada zote ambazo zimeongozwa na viongozi wa kanda ya Nyasa, viongozi wa mikoa na wilaya ambazo zinalilia na kuonesha thamani ya maisha ya Mdude, na tumekuwa na Mazungumzo pia kupitia viongozi wa kanda na mikoa, mazungumzo na RPC, RC, RCO, askari kutoka makao makuu ya jeshi la polisi DOdoma...
  18. Just Pray

    PreGE2025 Amani Golugwa: Tumepokea makada wetu 21 waliojeruhiwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimepokea majeruhi 21 wanaodaiwa kujeruhiwa na askari wa Jeshi la Polisi katika tukio la Aprili 24, 2025, wakati wakielekea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuatilia kesi ya mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Naibu Katibu Mkuu wa...
  19. Just Pray

    PreGE2025 Amani Golugwa: Hilda Newton bado hajapatikana, Tunachofahamu alichukuliwa na polisi

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema mpaka kufikia hivi sasa hakina taarifa za alipo mjumbe wa Baraza Kuu la chama hicho Hilda Newton baada ya kukamatwa siku ya jana akiwa eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar Es Salaam. Akizungumza na vyombo vya habari leo April 25...
  20. Just Pray

    PreGE2025 Amani Golugwa: Polisi walikuwa wanapiga marungu kwenye migongo katikati ya uti wa mgongo, unyama uliopitiliza

    "Waliokatwa ni makamu mwenyekiti wa chama chetu Zanzibar Said Mzee yeye alikamatwa kwenye gari akapigwa, hawa polisi walikuwa wanapiga marungu kwenye migongo, walikua wanageuzwa hivi halafu kwenye katikati ya uti wa mgongo marungu yanapigwa, ilikuwa ni kitendo cha unyama uliopitiliza." Kupata...
Back
Top Bottom