Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi CCM Tanzania Bara Ally Salum Hapi akizungumza kwenye kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi FM amesema Asilimia kubwa ya waliopo magerezani ni wana CCM nipe kihabari
Soma Pia: Ally Hapi: Tusidanganyike tukaharibu nchi yetu yakatukuka kama ya Libya kwa Gaddafi
Kwenye hii "Clip" hapa chini Ali Hapi alionekana kuwakemea "wastaafu" aliodai wakati ule kuwa walikuwa wanamkwamisha Rais John Magufuli kwenye juhudi zake za kuijenga Tanzania.
Ukiisiliza clip hiyo zaidi ya utofauti wa nyakati, utofauti wa maneno ya Ali Hapi wakati ule na maneno ya Humphrey...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.