al jazeera

Al Jazeera (Arabic: الجزيرة‎, romanized: al-jazīrah, IPA: [æl (d)ʒæˈziːrɐ], literally "The Island", though referring to the Arabian Peninsula in context) is a free-to-air international Arabic news channel based in Doha, Qatar that is operated by the media conglomerate Al Jazeera Media Network. The channel is a flagship of the media conglomerate and hence, is the only single offering to carry the name as simply "Al Jazeera" in its branding.
The channel's willingness to broadcast no holds barred views, for example on call-in shows, created controversies in the Arab States of the Persian Gulf. One of the station's office was the only channel to cover the War in Afghanistan live.The parent holding is a "private foundation for public benefit" under Qatari law. Under this organisational structure, the parent receives funding from the government of Qatar but maintains its editorial independence. The network is sometimes perceived to have mainly Islamist perspectives, promoting the Muslim Brotherhood, and having a pro-Sunni and an anti-Shia bias in its reporting of regional issues. Al Jazeera insists it covers all sides of a debate and says it presents Israel's views and Iran's views with equal objectivity. Al Jazeera has aired videos released by Osama bin Laden.In June 2017, the Saudi, Emirati, Bahraini, and Egyptian governments insisted the closure of the entire conglomerate as one of thirteen demands made to Government of Qatar during the Qatar diplomatic crisis. Other media networks have spoken out in support of the network. According to The Atlantic magazine, Al Jazeera presents a far more moderate, Westernized face than Islamic jihadism or rigid Sunni orthodoxy and though the network has been criticized as "an 'Islamist' stalking horse", it actually features "very little specifically religious content in its broadcasts."

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Shambulio la sekunde 40 lililomuua Ayatollah na viongozi wengine 40 kusababisha maombolezo ya siku 40 halipewi uzito na vyombo vikubwa kama Al Jazeera

    Shambulizi la sekunde 40 Ayatollaha na viongozi 40 kupigwa kwa mpigo Maombolezo ya siku 40 kiongozi mkuu wa Iran, Ali Khamenei, na viongozi wengine wa ngazi ya juu walipigwa target kwa mpigo na ufasaha wa hali ya juu sana licha ya kuwa kwenye eneo lenye usalama wa hali ya juu, lakini media...
  2. Echolima1

    Israeli imelaani Jukwaa la Al Jazeera kama "mkutano wa kilele wa magaidi" huko Doha

    Israeli inalaani Jukwaa la Al Jazeera kama "mkutano wa kilele wa jihadi" huko Doha Wizara ya Mambo ya Nje ya Israeli ilitoa karipio kali kwa Jukwaa la 17 la Al Jazeera lililofunguliwa Doha wikendi hii, ikilielezea kama "mkusanyiko teule wa wanajihadi na wafanyakazi wao wa usaidizi." Jukwaa...
  3. M

    Iran: Miaka 50 ya ukandamizaji wa dola ya kiislamu, sasa raia wanapigania uhuru lakini media kubwa hasa AL jazeera haziwapi airtime ya kutosha

    Ni miaka karibia 50 ya ukandamizaji wa raia wa Iran nasa sasa wameamua kusema imetosha, wamejitoa muhanga kuikomboa nchi yao lakini media kubwa zinawapa airtime ndogo sana. Yalianza kama maandamano ya mfumuko wa bei lakini kwa sasa yamekuwa ya kuikomboa Iran
  4. Cute Wife

    PostGE2025 Kwa maana nyingine serikali imekubali ripoti ya CNN, BBC na Al Jazeera ila hawajapenda namna walivyopata uthibitisho?

    wakuu, Kwenye press hii Msigwa amseme walichokifanya CNN na wengine ni kinyume na maadili ya uandishi kwa kutokwenda kupata upande wa pili. Wamesema kuweka picha za kutisha mtandani ni kinyume na maadili, kuonyesha picha za watu vimejaa damu, au wametobolewa ni kinyume na taratibu za uandishi...
  5. Cute Wife

    PostGE2025 Msigwa: Uhakiki wa video za CNN unaendelea, serikali inatoa wito wa CNN kufuata weledi na maadili ya uandishi

    Kuhusu serikali kufanya uhakiki wa ripoti ya CNN, Msigwa amesema: Uhakiki wa makala unaendelea, lakini hawajafuata weledi na uadilifu kwenye uandishi wa habari. Si kweli CNN ilishindwa kupata upande wa serikali, akisema inashangaza chombo kama CNN kufanya makosa ya kiweledi kama hayo...
  6. Lord Denning

    PostGE2025 Yaani uonewe na Al Jazeera, BBC, France 24 na CNN? Wewe nani kwa mfano?

    Unajua hata kwenye kupima mizani kuna mambo hayaaingii akilini. Machawa na Wajinga wanaotumwa na Samia kujaribu kutuliza upepo wanaleta propaganda mfu eti Wanaonewa na CNN Wanasahau jambo lililosemwa na CNN kitaalam zaidi lilishasemwa na vyombo vinavyoaminika vya kimataifa vya habari wakiwemo...
  7. D

    Tafakari hii fedheha: Hakuna kiongozi hata mmoja wa juu kutoka CCM mwenye uwezo wa kufanya mahojiano na media kubwa kama Al Jazeera au CNN

    Hiyo ni kuanzia na aliyejiapisha hadi aliyeapisha. Ukweli ni kwamba hawa wanaojiita viongozi wetu ni dumbheads tu hakuna kitu vichwani mwao. Yan wao ni full janjajanja, ghilba, wizi, ufisadi na uongo. Wakati akina Kagame na akina Ruto interviews za AJ, CNN na BBC huzigonga tu kama wananawa...
  8. comrade_kipepe

    GE2025 Baada ya kuonyesha kilichojiri kwenye Uchaguzi 2025, chaneli ya Al-Jazeera yazuiwa (blocked) kwenye visimbuzi vya Tanzania

    Baada ya kuonekana Al Jazeera hawapepesi macho wala kuuma maneno, wameona waiondoe kwenye ving'amuzi vingi Tanzania ili watu walio Tanzania wasione video za kutisha. Kila siku Al Jazeera walikuwa wanaelezea na kuonyesha video za mauaji Tanzania.
  9. N

    GE2025 VIDEO: Al-Jazeera yaungana na Watanzania kupaza vilio vyao ulimwenguni

  10. Chizi Maarifa

    Al Jazeera : IRAN Wajawa na khofu hali yao yazidi kuwa mbaya, wamedhoofu sana

    Toka Israel iwachakaze mle mle ndani mwao nao wakarusha rusha vijigumi vya kuwapiga tumboni Israel. Jamaa wamekuwa wanyonge sana. Hawana raha kabisa. Na hali yao inazidi kuwa tete. Huwasikii tena Iran wakitamba na kujipanua kama mwanzo. Wamebana ngenge kwa sasa. Wamegundua jamaa ukitanua...
  11. JanguKamaJangu

    Wanahabari watano wa Al Jazeera wauawa katika shambulio la Israel huko Gaza

    Shirika la habari la Al Jazeera limesema kuwa waandishi wake watano wameuawa katika shambulio la Israeli karibu na Hospitali ya Al-Shifa mjini Gaza Miongoni mwa waliouawa ni waandishi Anas al-Sharif na Mohammed Qreiqeh, pamoja na wapiga kamera Ibrahim Zaher, Mohammed Noufal na Moamen Aliwa...
  12. Komeo Lachuma

    Al Jazeera: Wazir wa Mambo ya Nje wa Iran. Asema ni kweli walipata kipigo kibaya kwenye vinu vyao. Wanajipanga upya

    Sasa wenzangu akina Ritz Adiosamigo na wengine ambao hatukuenda shule inabidi tusubiri kusikia sheikh kitinku atatupa tena maneno gani ya kuwajibu hawa waisrael. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anakiri kuwa walipata kipigo kibaya kwenye vinu vyao. Ingawa sisi tulijaribu sana kupinga. Na wenzetu...
  13. ELI COHEN

    Kama waifanyiavyo Israel, nilitegemea kuona al jazeera wanaishutumu siku nzima Iran kwa kurusha makombora katika anga yao.

    Hapo ndipo unapoona itikadi ndio inacheza vizuri. al jazeera ipo nchini qatar. Al Jazeera imetumika kama chombo cha habari cha Hamas, Houthis, Hezbollah - na sasa kwa Iran. Inaeneza habari potofu na propaganda za vita kwa niaba ya Iran, ikifanya chochote kinachoweza kudhuru Israel, U.S., na...
  14. Komeo Lachuma

    Tuendelee kupata matamko ya Hayatollah Khomein kuhusiana na vita ya Israel vs Iran. Toka Al Jazeera

    Wakati Makobazi yanasema Israel imepiga upepo. Khayatolla aanza kutoa Milio. Tupate habari toka Al Jazeera. Nuclear Sites zimepigwa na Makamanda kuuawa. Na Nuclear scientists wameuawa pia.
  15. Nyani Ngabu

    Al Jazeera yazidi kuikalia kooni serikali ya Rais Samia

    Heko tele ziende kwenye kituo cha Al Jazeera kwa kuendelea kuyamulika yanayoendelea Tanzania. Jana/ leo wamerusha habari za Boniface Mwangi kutekwa na kuteswa na vyombo vya usalama vya Tanzania. Kama bado haijatokew basi muda si mrefu itatokea. Serikali ya Samia itakuja kukifungia kituo cha...
  16. Y

    Al Jazeera; Can a bomb spare a child?

    Al Jazeera TV has, most frequently, been covering the killings in Gaza by Israel army focusing on the impact on Children. They frequently highlight the suffering of children in order to attract attention and provoke reaction from the world. The question that arises is whether this should have...
  17. and 998 others

    Tetesi: Arusha International Iftar kurushwa live CNN, BBC & Al Jazeera

    Tukio la kutikisa dunia Arusha International Iftar (AII) limerushwa mubashara na Vituo vikubwa vya Televisheni Duniani. Hongera Dr
  18. J

    Ukitaka kujua kuwa Waandishi wa Habari wa Al Jazeera wana lengo la kuichafua Israel sikiliza hii interview

    Ni interview aliyofanyiwa Douglas Murray na Mwandishi wa Habari wa Al Jazeera
  19. Mtu Asiyejulikana

    Al Jazeera: Israel haitaki kusitisha mapigano yaendelea kushambulia Lebanon

    Marekani inataka sana Israel isimamishe mapigano huku juu juu. Lakini kwa ndani ni kama inawaambia endeleeni kushikilia hapo hapo. Israel inaendeleza kipigo huko Lebanon ni kama haitaki mapigano yasimame. Huu ni ushahidi toka Al Jazeera siyo websites za vichochoroni za kinazi.
  20. U

    Breaking News Wafanyakazi wa ofisi za kituo cha television cha Al Jazeera wakimbia ofisi zao haraka, yadaiwa ni hofu dhidi shambulizi la IDF!

    Wadau hamjamboni nyote? Hajulikani nani aliyetoa taarifa hiyo iliyoleta taharuki hiyo ila hadi muda huu ofisi hizo huko Beirut zimebaki tupu baada ya Wafanyakazi wote kukimbia ili kuokoa maisha yao Taarifa kamili tutawaletea October 17, 2024 Al Jazeera office evacuated in Beirut after...
Back
Top Bottom