al hilal

Al Hilal Saudi Football Club (Arabic: نادي الهلال السعودي), simply known as Al Hilal, is a professional multi-sports club based in Riyadh, Saudi Arabia. Their football team competes in the Saudi Professional League. They are the most decorated club in Asia winning 65 official trophies. They also hold the record for the most continental trophies in Asia, as well as a record 18 Professional League titles.
Founded on 16 October 1957, Al Hilal are one of four teams to have participated in all seasons of the Saudi Professional League since its establishment in 1976.
Overall, Al Hilal have won 65 official titles and 100 when unofficial trophies are counted. In domestic competitions, they have won a record 18 Professional League titles, a record 13 Crown Prince Cup titles, a record seven Saudi Federation Cup titles, nine King Cup titles, a record three Super Cup titles, and also the Saudi Founder's Cup.
Internationally, Al Hilal have won a record eight Asian Football Confederation trophies – the AFC Champions League in 1991, 2000, 2019 and 2021, the Asian Cup Winners Cup in 1997 and 2002, and the Asian Super Cup in 1997, 2000. In September 2009, Al Hilal was awarded Best Asian Club of the 20th Century by the IFFHS.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Chungu na tamu za watabiri mchezo wa Yanga na Al Hilal (first leg & second leg)

    Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa. Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga...
  2. Kipenzi Changu

    Maono: Yanga atafungwa 1-0 na Al Hilal

    Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya Jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal. Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini...
  3. N

    Hii picha ni ya leo? Basi Yanga na Al Hilal wanachezeana michezo ya kitapeli

    Leo mchana niliona tweet kwenye page ya Al Hilal kwamba maofisa wake WATATU wanakuja Dar es Salaam kuweka mazingira sawa, nilisahau ku i capture na usiku huu siioni, nafikiri ipo deleted. Kilichonistua ni tweet yao mpya kwamba afisa wao (mmoja) kafika DSM na kapokelewa na Injinia Hersi. Katika...
  4. Little brain

    Al Hilal wapigika kama ngoma na timu B ya Tp Mazembe

    Jana Al hilal wamepigwa 3 : 0 na timu ya watoto wa academy ya Tp Mazembe. Ikumbukwe tu hawa Al Hilal ndiyo waliwapiga makolo kimoja cha nguruwe.
  5. Kipenzi Changu

    Uwanja wa mazoezi wa timu yenye uwekezaji mkubwa kuzidi Al Hilal

    Uwanja wa timu kubwa kiuwekezaji kuliko Al Hilal. Uwanja umesheheni miundombinu yote pamoja na viwanja vya nyasi asilia na kapeti,gym, netball mpaka kiwanja kidogo cha ndege ya kuchukua timu. Uwanja wa Al Hilal ukiwa umejaa mbigili tupu My Take Huyu msemaji akili zake amemkabidhi nani pale GSM?
  6. DreezyD98

    Yanga yatangaza viingilio dhidi ya Al Hilal tar 8 October

    Kuelekea mchezo dhidi ya Al Hilal, timu ya Yanga wametangaza bei ya viingilio. Viingilio hivyo vimeainishwa kama ifuatavyo Kiingilio cha juu zaidi ni shilingi elfu 15 kwa VIP A 10000/= kwa VIP B& C 3000/= Kwa mzunguko ukikata tickets mapema.
  7. Gordian Anduru

    Jionee mwenyewe Yanga na Al hilal nani zaidi? Group stage caf confederation cup 2018

    Kipindi hicho 2018 Yanga na Al hilal walifanikiwa kuingia group stage 2018 kombe la shirikisho ukilinganisha takwimu zao utagundua kuwa Al hilal ni timu ya kawaida sana Si kama wanavyoipaisha wachambuzi wa kibongo
  8. Dr Matola PhD

    Namna Yanga inaongelewa huko Sudan kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mechi yao na Al hilal (by google translate)

    NAMNA YANGA INAONGELEWA HUKO SUDAN🔥🔥🔥 Wafahamu kiufupi YOUNG AFRICANS @yangasc wapinzani wa AI Hilal Round ya kwanza CAFCL Hawa ndio wafalme wa soka la Tanzania, ndiyo Klabu iliyobeba mataji mengi zaidi nchini humo (28) wakifatiwa na wapinzani wao ambao ni watani wao wa Jadi klabu ya Simba...
  9. kwisha

    Yanga watawatoa Al Hilal

    Huu ni ukweli mtupu Yanga watawatowa Al Hilal na inawezekana kabisa wakawatowa kama jinsi al hilal walivyo watoa st - George kwa faida ya goli la ugenini. Mechi ya al hilal na Yanga apa Dar itakuwa ngumu saana Na kuna uwezekano kabisa wakaenda 0-0 na Yanga akawatawa kule kwao kwa 1-1 Sababu ni...
  10. Kilimbatz

    Naona Yanga wameshavamia official pages za Al Hilal

    Huu utaratibu naona unazidi kukita mizizi hapa nchini Naona mpira sasa unachezwa mtandaoni hadi uwanjani Tuliona kwa Zalan,je Wananchi watafaulu na kwa hawa wazee wa Sudani!? Muda ni mwalimu mzuri
  11. N

    Good news kwa Yanga: Mvurugano Al Hilal waihofia Yanga, Ibenge kachanganyikiwa

    Baaada ya Yanga kuichakaza team ngumu ya Sudan Kusini kwa bao 9-0 (yes ni ngumu ni mabingwa na siyo dhaifu kama unabisha na wewe ni dhaifu maana mayelle alikupiga bao 2) hali hapo jijini Khartoum siyo nzuri kwa vigogo wa team. Jana baada ya ushindi wa magumashi dhidi ya team dhaifu ya waimba...
Back
Top Bottom