Katika taifa la China, kila mwaka mwezi wa sita huwa na hali ya taharuki, msisimko na uzito wa kipekee ni wakati wa Gaokao, mtihani mkubwa wa kitaifa wa kujiunga na vyuo vikuu. Mwaka huu, kuanzia Juni 7 hadi 10, zaidi ya wanafunzi milioni 13 walikuwa wanapambana na karatasi za mtihani...