“Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu”
Uchaguzi wa tarehe 29 Oktoba mwaka huu umeweka historia ya aibu.
Aidha CCM sasa imekiuka madhumuni ya uanzishwaji wake maana , chama kiko insensitive kwa wananchi wake.
Kwamba kulikuwa na maonyo, kisiasa ,kuwa kunaweza kuwepo maandamano, CCM ,ilijiweka...