afrika ya kati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    JWTZ yatuzwa Nishani za Umoja wa Mataifa kwa Uhodari wa Kulinda Amani Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Kikosi cha Nane cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TANBAT 08) kinachoshiriki katika operesheni za kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kimetunukiwa Nishani za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa (UN) kutokana na mchango wake mkubwa katika kurejesha na kudumisha utulivu...
  2. DuaZaMama

    Full Time: Central Africa Republic 0-0 Tanzania | Mechi ya kundi 'B' CHAN 2024 | Mkapa Stadium | Agosti 16, 2025 | Saa 2:00 Usiku

    Taifa Stars Kufunga Kundi B CHAN 2024 Leo Leo, Agosti 16, 2025, Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars inashuka dimbani kumenyana na Central Africa (Jamhuri ya Kati) katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya CHAN 2024, Kundi B. Stars tayari imejihakikishia tiketi ya kusonga hatua...
  3. Mindyou

    Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) Faustin Archange Touadera atangaza kugombea Urais kwa muhula wa tatu

    Wakuu, Chama tawala cha Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), United Hearts Movement (MCU), kimemteua Rais wa sasa Faustin-Archange Touadera kuwa mgombea wake wa urais Jumamosi. Uamuzi huo umefikiwa katika kongamano la kawaida la chama hicho lililofanyika katika mji mkuu wa CAR, Bangui. Wafuasi wa...
  4. funaku

    JWTZ Yapata kazi ya kujenga madaraja Afrika ya Kati

    Pongezi nyingi kwao. Hii ni taarifa kupitia Milard Ayo ambapo Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania JWTZ wamepata tenda ya kujenga madaraji nchini Afrika ya Kati. ============== Umoja wa Mataifa kupitia Ujumbe wa Kulinda Amani Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA), umelipatia Jeshi la...
  5. Just Pray

    JWTZ lasaidia huduma tiba na afya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limechangia huduma tiba na afya kwenye hospitali ya Jiji la Berberati iliyoko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati tarehe 14 Aprili mwaka 2025. Akizungumza mara baada ya uchangiaji wa huduma hizo kwa niaba ya Kamanda Kikosi cha Nane cha Ulinzi wa Amani nchini...
  6. Mchochezi

    Waziri wa Michezo wa Afrika ya Kati akimkabidhi Kocha wa Timu yao Taifa zawadi ya Pikipiki baada ya kufuzu CHAN 2025

    Central African Republic Sports Minister presented this new motorbike to coach Sébastien Ngato for guiding them through to the 2024 CHAN tournament. This is the most expensive bike in the country and it’s a nice way to reward the coach for his efforts.
  7. Mr-Njombe

    Pongezi kwa Jeshi letu kwa kuimarisha ulinzi na usalama Afrika ya Kati

    Luteni Jeneral Nyone amesema "Toka Kikosi kilipoanza jukumu katika robo ya mwisho ya mwaka 2023 Kimetekeleza majukumu yake ya Ulinzi wa Amani kwa weledi na kuweka mazingira salama na tulivu kwa Wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuendelea na shughuli za kiuchumi na kijamii na pia kuwezesha...
  8. Lord Denning

    Tungekuwa na Baraza la Mawaziri sharp na smart tungekuwa tunaipeleka SGR Uganda kwa focus ya kuifikisha Sudan Kusini na Afrika ya Kati

    Dunia hailali. Kila siku watu wanaumiza vichwa vyao wafanyaje kukamata fursa ili kuwa na maendeleo makubwa kiuchumi. Kenya anapambana akamate soko la mizigo la Uganda, Sudani Kusini , Ethiopia na baade Afrika ya Kati kupitia Sudani Kusini. (Kupitia mpango wao wa The Northen Corridor) Wiki hii...
Back
Top Bottom