afrika kusini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KWANINI WAUZA SEMBE KUTOKA TZ NA KENYA HAWASEMWI SANA AFRIKA KUSINI KAMA ILIVYO KWA WANAIJERIA

    Nimeoma huko sauzi kuna ile hali ya kuwaona wanaijeria ni wauza madawa, Je hali ipoje kwa watz na kenya wanaouza
  2. U

    Rais Ramaphosa ameapa kuwachukulia hatua waliomtorosha Nabii Bushiri kutoka Afrika Kusini kwenda Malawi

    RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema kuwa kutoroka kwa Nabii wa Malawi na mke wake nchini humo ni jambo ambalo analifuatilia kwa karibu na ameahidi kuchukua hatua baada ya kupata taarifa za kina. Nabii Shepherd Bushiri na mke wake Mary, wanakabiliwa na mashtaka ya ulaghai na...
  3. S

    Hata makaburu waliijenga sana Afrika Kusini ila walikataliwa kwa kukosa utu

    Tunawaambie nyie watu wenye primitive mentality kuwa hakuna maendeleo yanayoweza kuhalalisha ukatili, unyanyasji, mauji na utesaji wa raia hata siku moja. Serikali yoyote duniani ambayo viongozi wake wamekosa utu, haikubali mbinguni na dunia labda itakubaliwa na shetani tu. Na msisahau...
  4. Nabii Bushiri na Mkewe wajisalimisha kwa Polisi wa Malawi baada ya kukimbia kesi ya utakatishaji fedha Afrika Kusini

    Fugitive Malawian preacher turns himself in to police Malawian preacher Shepherd Bushiri and his wife Mary have handed themselves over to police in their home country after skipping bail in South Africa. The couple turned themselves in Malawi's capital, Lilongwe, on Wednesday morning...
  5. K

    Mchungaji maarufu barani Afrika, Bushiri atoroka nchini Afrika Kusini baada ya kuachiwa kwa dhamana

    Mchungaji maarufu barani Afrika, Bushiri ametoroka nchini Afrika kusini baada ya kuachiwa kwa dhamana mapema mwezi huu kwa kushtakiwa kwa utapeli na utakatishaji fedha. Mchungaji Bushiri, ambaye amesema kuwa anataka kusafisha jina lake, amerejea katika nchi yake, Malawi, akiwa na mke wake Mary...
  6. K

    GE2020 Nadhani Afrika Kusini inawajibika kututhibitishia kwamba karatasi na vifaa vya kura vimezalishwa na kampuni ya nchi hiyo! Wasije kuonekana wanashiriki

    Nchi nyingi Duniani utangaza nakuweka wazi kampuni yakuzalisha vifaa na karatasi za kura na jamaa ni kampuni ya nje ya nchi husika vasi siku vifaa vinaingizwa nchini utangazwa na media uruhusiwa kuona mapokez kama tunavyopokea watalii au ndege zinaponunuliwa. Pili mkataba wa tenda hiyo uwekwa...
  7. Virusi vya Corona: Hatua za udhibiti zalegezwa Afrika Kusini, huku maambukizi yakipungua

    Afrika Kusini ilitekeleza amri ya kutotoka nje tarehe tarehe 27 MachiImage caption: Afrika Kusini ilitekeleza amri ya kutotoka nje tarehe tarehe 27 Machi Afrika Kusini, ambayo ilikuwa ni moja ya nchi zilizochukua hatua kali mapema zaidi duniani za kukabiliana na kusambaa ka virusi vya corona...
  8. Athari za Covid zairudisha Afrika Kusini miaka 13 nyuma kiuchumi, shinikizo la mabadiliko laongezeka

    Shinikizo linaongezeka kwa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kuongeza kasi ya mabadiliko kwenye sekta za nishati na mawasiliano kwenye nchi hiyo inayoongoza kwenye uchumi wa viwanda barani Afrika baada ya ugonjwa kufuta ukuaji wa zaidi ya muongo mmoja. Madhara ya Covid kwenye uchumi wa...
  9. Kwa hesabu za haraka, Stiegler's Gorge itaifanya Tanzania kuipiku Afrika Kusini kiuchumi ndani ya miaka 10

    Kwa kuwa nishati ndio nyenzo kuu kabisa ya maendeleo ya kiuchumi ya Taifa lolote lile, nimepiga hesabu za haraka na kubaini kuwa endapo bwawa la Stiegler's Gorge litakamilika kwa full capacity ya uzalishaji wa MW 6000, na tukaweza kuuza nishati hii nafuu kwa nchi jirani za Africa, basi ni...
  10. Syndicate ya drug delears Tanzania-South Africa

    Pushing heroin through South Africa: The telephone line distorts. “We need to hurry up man, seriously dog,” says Mark*, the American voice on the one end of the line. “If these people leave, somebody owes me money, dude, because I am not carrying that shit.” “Okay, there is no problem...
  11. O

    Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda Kurejea kutoka kwenye matibabu Afrika Kusini

    Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri Tanzania na Mhariri Mtendaji wa New Habari, Ndugu yetu Absalom Kibanda anarejea kesho saa saba mchana na ndege ya SAA kutoka kwenye matibabu ya muda mrefu nchini Afrika Kusini baada ya kutekwa na watu wasiojulikana nje ya nyumba yake akirudi nyumbani siku 88...
  12. Kikwete visits TEF chairman Mr Absalom Kibanda in South Africa

    Kikwete visits TEF chairman in South Africa President Jakaya Kikwete has visited in hospital the chairman of Tanzania Editors' Forum (TEF) and Managing Editor of New Habari (2006) Corporation, Mr Absalom Kibanda (47), who is admitted to one South African hospital undergoing treatment after...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…