Salaam,
Leo ni siku ya kimataifa ya kupinga adhabu ya kifo.
Maadhimisho ya kitaifa yameandaliwa na Mtandao wa Mashirika ya Utetezi wa Haki za Binaadamu kwa nchi za Kusini mwa Afrika tawi la Tazania-SAHRINGON na yafanyika ndani ya ukumbi wa Saba Saba, Kilwa Rd.
Hii ndio ratiba yake
MARKING...