Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, ametaja mambo matatu aliyosema yakitekelezwa ndipo kita kitaingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK).
Mambo hayo pamoja na kuundwa kwa kamati ya pamoja yenye uwakilishi sawa kutoka vyama vilivyosaini makubaliano, kuundwa...