act wazalendo

Alliance for Change and Transparency (ACT) (Swahili: Chama cha Wazalendo, lit. 'Party of Patriots') is a political party in Tanzania. It received its permanent registration in May 2014.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mikoa ya kusini mwa Tanzania imeonekana kusahaulika kimaendeleo?

    Kwa nini mikoa ya kusini mwa Tanzania imeonekana kusahaulika kimaendeleo? Serikali imekuwa haitoi fursa za kutosha za uwekezaji, licha ya kuwepo kwa rasilimali nyingi. Miundombinu bado ni dhaifu; kwa mfano, barabara za Kilwa–Liwale, Liwale–Nachingwea na Dar es Salaam–Lindi zina hali...
  2. JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Tunalaani Kusitishwa kwa Leseni ya Gazeti La Mwanahalisi, Hatua Hiyo Isitishwe Mara Moja

    ACT Wazalendo tunalaani kwa nguvu zote uamuzi wa Serikali kusitisha kwa miezi sita leseni ya uchapishaji na usambazaji wa Gazeti la MwanaHALISI, kuanzia tarehe 19 Agosti 2026. Serikali imesema hatua hiyo imetokana na madai ya kukiuka viwango vya usahihi, mizania na uthibitishaji wa taarifa...
  3. JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Tunalitaka jeshi la polisi limuachie huru Wakili Madeleka

    Chama cha ACT Wazalendo kinakemea vikali kukamatwa kwa Wakili Peter Madeleka jioni ya jana Agosti 14, 2026, nje ya Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi akiwa anatekeleza majukumu yake. Polisi wamemkamata kwa kile wanachodai kudharau amri ya Mahakama Kuu. Kukamatwa kwa...
  4. JamiiForums Tanzania Mpina: Sijawahi kuona Serikali inayovunja Sheria na Katiba kama ya Awamu ya Sita

    Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema hajawahi kushuhudia Serikali inayokiuka sheria na Katiba kwa kiwango anachodai kufanyika katika Awamu ya Sita. Amesema katika kipindi chake cha miaka 20 akiwa Mbunge, ameshuhudia awamu mbalimbali za uongozi, lakini hali ya sasa ni...
  5. JamiiForums Tanzania PostGE2025 Chama cha ACT Wazalendo kimekataa rasmi kuitambua Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025

    Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kimekataa rasmi kuitambua Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, kikisisitiza kuwa Serikali inayotuhumiwa kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu haina uhalali wa kisiasa wala...
  6. JamiiForums Tanzania PostGE2025 ACT: Tunaitaka Serikali kukubali uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu wa 2025

    ACT Wazalendo imepokea taarifa ya Serikali kuhusu kuundwa kwa Tume ya Rais ya kuchunguza matukio yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025. Pamoja na kutambua umuhimu wa kuwapo kwa uchunguzi kuhusu matukio hayo, tunasikitishwa na uamuzi wa kuunda Tume ambayo muundo wake...
  7. JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka aipiga teke ACT WAZALENDO. Hajawa clear na destination yake kisiasa. Lakini kwa alivyoisifia CHADEMA, namuona akitua huko..!

    https://youtu.be/tN1-smB7nOo?si=j1dEU9tUQi1fNu2N Anasema: 1. Ameamua kutoka huko ili kuungana na wapigania haki wengine kuipigania haki, demokrasia na utawala bora Tanzania 2. Haoni chama kingine chochote ambacho kinapata uungwaji mkono mkubwa toka kwa wananchi kwa sasa kuliko wakati...
  8. JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo ni kama Azam tu na CHAUMMA ni kama Singida Black Stars

    Huu ni ukweli kabisa...ukitaka uamini ona issue ya Maridhiano inavyozungumziwa, ni CCM na CHADEMA. Issue ya Siasa Bongo ni Kama Issue ya Soka ilivyo..Kila Msimu kila agenda hua ni Simba na Yanga. Ikitokea Azam kajitutumua kafanya usajili mzuri ndio unaona anazungumziwa na kupewa jicho na...
  9. JamiiForums Tanzania Makamu ACT Bara Isihaka Mchinjita: Kusaini tamko la pamoja Zanzibar haimaanishi kuwa ACT Wazalendo imeingia Serikalini

    Wakuu, Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Tanzania Isihaka Mchinjita amesema kuwa wao walichofanya kusaini ni tamko la pamoja la makubaliano ya kisiasa na CCM na haimaanishi kuwa kimeingia rasmi serikalini, bali ni mwanzo wa utekelezaji wa mageuzi makubwa ya kisheria na kiasasisi nchini...
  10. M

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo wanaongea na waandishi wa habari

    https://www.youtube.com/live/B0XpN97VAG4
  11. L

    JamiiForums Tanzania Makubaliano ya Maridhiano baina CCM na ACT Wazalendo - Julai 9, 2026

    Hii hapa: Jambo Tv https://www.youtube.com/watch?v=44nfO46PvfU
  12. JamiiForums Tanzania Msimamo wa ACT Wazalendo baada ya kupitishwa bajeti na sheria ya fedha, 2026 katika kulinda katiba, fedha za umma na maslahi ya wananchi

    Salaam Wakuu Hapa Chini nimewawekea Msimamo wa ACT-WAZALENDO kuhusu Sheria ya fefha 2026. Nimeweka Utangulizi na Hitimisho ili kukurahisishia kujua yaliyomo. Hotuba yote nimemekuwekea hapa(bonyeza) ==== UTANGULIZI Wiki moja imepita tangu Chama cha ACT Wazalendo kilipowasilisha hadharani...
  13. JamiiForums Tanzania Rais Samia awajulia hali Pacome Zouzoua wa Yanga na Mlezi wa ACT Wazalendo, Sheikh Rashid Hamad Othman

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Sheikh Rashid Hamad Othman, Mlezi wa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, anayepatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan Jijini Dar es Salaam. Akiwa hospitalini hapo Rais Dkt...
  14. JamiiForums Tanzania Bwana Katambi, Kama CHADEMA inatishia Usalama wenu , Muifute , Yanini kunyima Haki CHAUMMA na ACT wazalendo??

    Bwana Katambi, Kama CHADEMA inatishia Usalama wenu , Muifute Yanini kunyima Haki CHAUMMA na ACT wazalendo?? Mkifute tu
  15. JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Bei ya mafuta imeshuka soko la Dunia kwa 22% lakini hatuoni bei zikishuka hapa nchini

    https://www.youtube.com/live/h3i8-aVhzGA https://www.youtube.com/watch?v=G7NseGbdVVM Leo Juni 23, 2026 Kiongozi wa ACT Wazalendo Dorothy Semu ameongoza uwasilishaji wa Uchambuzi wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027. "Bei ya mafuta imeshuka katika soko la dunia kutoka Dola...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Inawezakana kweli maalim Seif kajutia kuungana na ACT wazalendo. Chama kimekufa Zanzibar

    Nilipotembelea Zanzibar hivi karibuni, nilibaki na maswali mengi kuhusu hali ya ACT Wazalendo. Chama ambacho kilikuwa na mvuto mkubwa wa kisiasa, kilichokuwa na mikutano yenye hamasa, matawi yenye shughuli na wanachama waliokuwa na matumaini makubwa, leo kinaonekana kupoteza nguvu zake kwa kasi...
  17. JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo yaendesha mafunzo maalum kwa Mawaziri Vivuli wa Chama hicho, yatafanyika kwa siku tatu

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, leo tarehe 12,Juni 2026 amefungua mafunzo maalum Kwa Mawaziri Vivuli wa Chama hicho Mafunzo yatakayoendelea kwa siku tatu hadi Juni 14, 2026. Mbali na Mafunzo hayo Mawaziri hao pia wamekabidhiwa nakala ya vitendea Kazi Kwa nafasi zao pamoja na kutakiwa...
  18. JamiiForums Tanzania Dorothy Semu azindua mafunzo Baraza Kivuli ACT Wazalendo

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Juni 12, 2026 amefungua mafunzo maalum Kwa Mawaziri Vivuli wa Chama hicho Mafunzo yatakayoendela Kwa siku tatu hadi Juni 14 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Mbali na Mafunzo hayo Mawaziri hao,pia wamekabidhiwa nakala ya vitendea Kazi Kwa nafasi zao pamoja na...
  19. JamiiForums Tanzania Bifu zito CHADEMA na ACT Wazalendo

    Mpasuko na mivutano ya kisiasa ndani ya kambi ya upinzani nchini Tanzania umezidi kushika kasi kufuatia mfululizo wa shutuma na majibu makali hadharani kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na chama cha ACT Wazalendo. Ugomvi huu mpya umeibuka kufuatia mkutano wa hadhara wa CHADEMA...
  20. JamiiForums Tanzania CHADEMA yaitwaa ngome ya Act wazalendo. Kilwa yazizima. Chama cha Zitto hakikubaliki tena

    Kilwa kivinje iliyokuwa ngome kuu ya Act wazalendo sasa ni Chadema tupu. Ikumbukwe mpaka sasa kila inakoenda kufanya mikutano yake Chadema inapata uungwaji mkono na wananchi kwa asilimia mia👇
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…